Menu

 

ANACHOSEMA KWA AJILI YA KURUDISHA(KUZUWIA) VITIMBI VYA MASHETANI WABAYA

 

أعوذ بكلمات الله التامات التي لا يجاوزهن بر ولا فاجر من شر ما خلق ، وبرأ وذرأ ومن شر ما ينزل من السماء ، ومن شر ما يعرج فيها ، ومن شر ما ذرأ في الأرض ، ومن شر ما يخرج منها ، ومن شر فتن الليل والنهار ، ومن شر كل طارق إلا طارقاً يطرق بخير يا رحمن

أحمد 3/419 بإسناد صحيح وابن السني برقم 637

[Najilinda  kwa maneno ya Mwenyezi Mungu  yaliyokamilika ambayo hayapiti mwema wala muovu, na shari ya alicho kiumba, na akakitengeneza na kukianzisha.  Na shari ya kinachoteremka kutoka mbinguni na shari ya kinachopanda huko, na shari ya kinachosambaa ardhini na shari ya inayotoka ndani yake na shari ya fitna za usiku na za mchana na shari ya kila anayegonga  usiku ila anayegonga kwa kheri Ewe Mwingi wa Rehma.]        [Imepokewa na Ahmad na Ibnu Sunniy]


ANACHOSEMA KWA AJILI YA KURUDISHA(KUZUWIA) VITIMBI VYA MASHETANI WABAYA


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668589
TodayToday1277
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 21

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6867104ebca9913575685191751584846
title_6867104ebcba48779209881751584846
title_6867104ebcc9c1299173701751584846

NISHATI ZA OFISI

title_6867104ebea4a4797999641751584846
title_6867104ebeb3317429840401751584846
title_6867104ebec1513869341121751584846 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com