Menu

 

UTAJO KATIKA MASH'ARUL HARAAM (MUZDALIFAH)

 

Amesema Jaabir radhi za Allah ziwe juu yake  kwamba ‘Mtume alimpanda Al-Qaswa (jina la ngamia wake) mpaka alipofika Mash’arul Haraam (huko Muzdalifah), kisha akaelekea Qiblah akamuomba Mwenyezi Mungu , akakabbir (akamtukuza), akaleta Tahlil (akamsifu), na akampwekesha. Hakuacha kusimama mpaka kulipopambazuka ndipo alipoondoka kabla ya kutoka jua.     [Imepokewa na Muslim.]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6669051
TodayToday188
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 17

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_686774e080abd14791831221751610592
title_686774e080ba810313685471751610592
title_686774e080c8920998439151751610592

NISHATI ZA OFISI

title_686774e0822496786258031751610592
title_686774e08231f5664734651751610592
title_686774e0823f6213873201751610592 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com