Menu

 

UTAJO KATIKA MASH'ARUL HARAAM (MUZDALIFAH)

 

Amesema Jaabir radhi za Allah ziwe juu yake  kwamba ‘Mtume alimpanda Al-Qaswa (jina la ngamia wake) mpaka alipofika Mash’arul Haraam (huko Muzdalifah), kisha akaelekea Qiblah akamuomba Mwenyezi Mungu , akakabbir (akamtukuza), akaleta Tahlil (akamsifu), na akampwekesha. Hakuacha kusimama mpaka kulipopambazuka ndipo alipoondoka kabla ya kutoka jua.     [Imepokewa na Muslim.]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669216
TodayToday881
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 214

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19bb93670f12743764781777441721
title_69f19bb93675f6888940701777441721
title_69f19bb9367aa14860314661777441721

NISHATI ZA OFISI

title_69f19bb936f8318982968871777441721
title_69f19bb936fd83849895361777441721
title_69f19bb9370255942691381777441721 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com