Menu

 

UTAJO KATIKA MASH'ARUL HARAAM (MUZDALIFAH)

 

Amesema Jaabir radhi za Allah ziwe juu yake  kwamba ‘Mtume alimpanda Al-Qaswa (jina la ngamia wake) mpaka alipofika Mash’arul Haraam (huko Muzdalifah), kisha akaelekea Qiblah akamuomba Mwenyezi Mungu , akakabbir (akamtukuza), akaleta Tahlil (akamsifu), na akampwekesha. Hakuacha kusimama mpaka kulipopambazuka ndipo alipoondoka kabla ya kutoka jua.     [Imepokewa na Muslim.]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6786220
TodayToday1221
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 28

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68aa28076385b13669713751755981831
title_68aa2807639527557662701755981831
title_68aa280763a3612945865451755981831

NISHATI ZA OFISI

title_68aa280764fab18948370921755981831
title_68aa28076507219131617171755981831
title_68aa2807651579841775861755981831 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com