Menu

 

UTAJO KATIKA MASH'ARUL HARAAM (MUZDALIFAH)

 

Amesema Jaabir radhi za Allah ziwe juu yake  kwamba ‘Mtume alimpanda Al-Qaswa (jina la ngamia wake) mpaka alipofika Mash’arul Haraam (huko Muzdalifah), kisha akaelekea Qiblah akamuomba Mwenyezi Mungu , akakabbir (akamtukuza), akaleta Tahlil (akamsifu), na akampwekesha. Hakuacha kusimama mpaka kulipopambazuka ndipo alipoondoka kabla ya kutoka jua.     [Imepokewa na Muslim.]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887287
TodayToday420
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 39

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bbf1792d3d1695982151782300439
title_6a3bbf1792d8c14898142111782300439
title_6a3bbf1792dd87151605221782300439

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bbf179337213845083221782300439
title_6a3bbf17933c018602212021782300439
title_6a3bbf179340c4647896051782300439 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com