Menu

 

ANAPORUSHA KILA KIJIWE KATIKA JAMARAH (NGUZO)

 

Alikuwa Mtume kila anaporusha kijiwe katika Jamarah (nguzo) tatu akisema

[أَللّهُ أَكْبَرُ]

[Mwenyezi Mungu ni Mkubwa]

….. anapomaliza kurusha vijiwe saba katika Jamarah (nguzo) ya kwanza, alikuwa anasogea mbele kidogo, anasimama kuelekea Qibla hali yakuwa ameiinuwa mikono yake, kisha anaanza kumuomba Mwenyezi Mungu. Alikuwa akifanya hivi katika Jamaaraha ya kwanza na ya pili pekee, ama ya tatu alikuwa hasimami bali akimaliza anaondoka.      [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887303
TodayToday436
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 43

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bc04b3ab1020691594561782300747
title_6a3bc04b3ab6115394158401782300747
title_6a3bc04b3abac156026761782300747

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bc04b3b18a5783559671782300747
title_6a3bc04b3b1d712421292751782300747
title_6a3bc04b3b22319038844871782300747 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com