Menu

 

ANAPORUSHA KILA KIJIWE KATIKA JAMARAH (NGUZO)

 

Alikuwa Mtume kila anaporusha kijiwe katika Jamarah (nguzo) tatu akisema

[أَللّهُ أَكْبَرُ]

[Mwenyezi Mungu ni Mkubwa]

….. anapomaliza kurusha vijiwe saba katika Jamarah (nguzo) ya kwanza, alikuwa anasogea mbele kidogo, anasimama kuelekea Qibla hali yakuwa ameiinuwa mikono yake, kisha anaanza kumuomba Mwenyezi Mungu. Alikuwa akifanya hivi katika Jamaaraha ya kwanza na ya pili pekee, ama ya tatu alikuwa hasimami bali akimaliza anaondoka.      [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6669095
TodayToday232
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 15

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68677f9cb868a17515002141751613340
title_68677f9cb87517219689161751613340
title_68677f9cb883610164313531751613340

NISHATI ZA OFISI

title_68677f9cb9e4f507382501751613340
title_68677f9cb9f3d12335197201751613340
title_68677f9cba01a11880052721751613340 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com