Menu

 

ANAPORUSHA KILA KIJIWE KATIKA JAMARAH (NGUZO)

 

Alikuwa Mtume kila anaporusha kijiwe katika Jamarah (nguzo) tatu akisema

[أَللّهُ أَكْبَرُ]

[Mwenyezi Mungu ni Mkubwa]

….. anapomaliza kurusha vijiwe saba katika Jamarah (nguzo) ya kwanza, alikuwa anasogea mbele kidogo, anasimama kuelekea Qibla hali yakuwa ameiinuwa mikono yake, kisha anaanza kumuomba Mwenyezi Mungu. Alikuwa akifanya hivi katika Jamaaraha ya kwanza na ya pili pekee, ama ya tatu alikuwa hasimami bali akimaliza anaondoka.      [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6786224
TodayToday1225
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 36

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68aa28076385b13669713751755981831
title_68aa2807639527557662701755981831
title_68aa280763a3612945865451755981831

NISHATI ZA OFISI

title_68aa280764fab18948370921755981831
title_68aa28076507219131617171755981831
title_68aa2807651579841775861755981831 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com