Menu

 

DUA YA KUSOMWA AKIWA AMESIMAMA KATIKA MLIMA WA SWAFAA NA MARWA

 

Amesema Jaabir radhi za Allah ziwe juu yake, Mtume ﷺ alipokurubia Swafaa alisoma:

[...إِنَّ الصَّفَا والمَرْوَةَ مِنْ شَعائرِ الله]

[Hakika Swafaa na Marwah ni katika alama za kumtukuza Mwenyezi Mungu]

 

[ أَبْدَأُ بِمَا بَدَأَ اللهُ بِهِ ]

[Ninaanza kwa alichoanza Mwenyezi Mungu]

 Akaanza Swafaa akapanda mpaka akaiona Al-Kaabah kisha akaielekea na kusema:

[اللهُ أكْبَرُ, اللهُ أكْبَرُ, اللهُ أكْبَرُ]

[Mwenyezi Mungu ni Mkubwa, Mwenyezi Mungu ni Mkubwa, Mwenyezi Mungu ni Mkubwa]

 kisha atasema yafuatayo mara tatu akomba dua (yoyote apendayo) baada ya kila mara:

لا إِلهَ إلاَّ اللهُ وَحْدَهُ لا شَرِيكَ لَهُ، لَهُ المُلْكُ وَلَهُ الحَمْدُ وهُوَ عَلى كُلِّ شَيءٍ قَديرٌ، لا إِلَهَ إلا اللهُ وَحْدَهُ أَنْجَزَ وَعْدَهُ، وَنَصَرَ عَبْدَهُ وَهَزَمَ الأَحْزَابَ وَحْدَهُ

[Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu, hali ya kuwa peke yake, wala hana mshirika wake, ni wake Ufalme nani zake sifa njema naye juu ya kila kitu ni Muweza. Hapana mola apasae kuabudiwa kwahaki ila Mwenyezi Mungu hali ya kuwa peke yake, ametekeleza ahadi yake, na amemnusuru mja wake, na amivishinda vikosi peke yake.]

….. Mtume  alisoma hivi mara tatu na baina yake akiomba dua, kisha akafanya akiwa Marwah kama alivyofanya Swafaa.    [Imepokewa na Muslim.]


DUA YA KUSOMWA AKIWA AMESIMAMA KATIKA MLIMA WA SWAFAA NA MARWA


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887428
TodayToday561
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 32

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bd5fe695ee1996259951782306302
title_6a3bd5fe6964611438059471782306302
title_6a3bd5fe696922902473261782306302

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bd5fe69c1a7030149751782306302
title_6a3bd5fe69c677761875511782306302
title_6a3bd5fe69cb19637964241782306302 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 3 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com