Menu

KAFARA YA KIKAO


 kafaraa


 

[ سُبْحـانَكَ اللّهُـمَّ وَبِحَمدِك، أَشْهَـدُ أَنْ لا إِلهَ إِلاّ أَنْتَ أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتوبُ إِلَـيْك ]

 أخرجه أصحاب السنن

[Kutakasika ni Kwako ewe Mwenyezi Mungu na sifa njema zote ni Zako. Nakiri kwamba hakuna mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe, nakuomba msamaha na ninarejea Kwako]     [Imepokewa na wapokezi wa Hadithi]

 

عن عائشة رضي الله عنها قالت : ماجلس رسول الله صلى الله عليه وسلم مجلساً قط ، ولا تلا قرآناً ، ولا صلى صلاة إلا ختم ذلك بكلمات قالت : فقلت : يارسول الله أراك ما تجلس ( مجلساً ) ولا تتلو قرآنا ، ولا تصلي صلاة إلا ختمت بهؤلاء الكلمات ؟ قال : نعم ( من قال خيراً خُتم له طابع على ذلك الخير ، ومن قال شراً كن له كفارة  ،  سبحانك وبحمدك لا إله إلا أنت أستغفرك وأتوب إليك

Imepokelewa kutoka kwa mama wa Waumini 'Aaishah radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Hajapatapo kukaa Mtume kikao wala kusoma Qur'ani wala kuswali ila atamaliza na du'aa hii’ Amesema mama wa Waumini 'Aaishah radhi za Allah ziwe juu yake nikamuuliza “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu nakuona hukai kikao chochote wala husomi Qur’ani wala huswali swala yoyote ile ila unaimalizia kwa kusoma maneno haya kwanini hasa? Akasema [Ndio anayesema kheri amalize kwa kheri na anayesema shari yanakuwa maneno haya ni kafara kwake]

 

[ سُبْحـانَكَ وَبِحَمدِك، لا إِلهَ إِلاّ أَنْتَ أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتوبُ إِلَـيْكَ ]

 

[Kutakasika ni Kwako na sifa njema zote ni Zako, hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe, nakuomba msamaha na ninarejea Kwako]      [Imepokewa na Al-Nnasaai, na Ahmad.]


SIKILIZA DUA YA KAFARA YA KIKAO


  


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6669089
TodayToday226
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 26

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68677c17e610210692072201751612439
title_68677c17e61cb12473699851751612439
title_68677c17e62b39803785031751612439

NISHATI ZA OFISI

title_68677c17e792110008097431751612439
title_68677c17e7a1a8082155361751612439
title_68677c17e7af82800745641751612439 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com