Menu

KAFARA YA KIKAO


 kafaraa


 

[ سُبْحـانَكَ اللّهُـمَّ وَبِحَمدِك، أَشْهَـدُ أَنْ لا إِلهَ إِلاّ أَنْتَ أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتوبُ إِلَـيْك ]

 أخرجه أصحاب السنن

[Kutakasika ni Kwako ewe Mwenyezi Mungu na sifa njema zote ni Zako. Nakiri kwamba hakuna mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe, nakuomba msamaha na ninarejea Kwako]     [Imepokewa na wapokezi wa Hadithi]

 

عن عائشة رضي الله عنها قالت : ماجلس رسول الله صلى الله عليه وسلم مجلساً قط ، ولا تلا قرآناً ، ولا صلى صلاة إلا ختم ذلك بكلمات قالت : فقلت : يارسول الله أراك ما تجلس ( مجلساً ) ولا تتلو قرآنا ، ولا تصلي صلاة إلا ختمت بهؤلاء الكلمات ؟ قال : نعم ( من قال خيراً خُتم له طابع على ذلك الخير ، ومن قال شراً كن له كفارة  ،  سبحانك وبحمدك لا إله إلا أنت أستغفرك وأتوب إليك

Imepokelewa kutoka kwa mama wa Waumini 'Aaishah radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Hajapatapo kukaa Mtume kikao wala kusoma Qur'ani wala kuswali ila atamaliza na du'aa hii’ Amesema mama wa Waumini 'Aaishah radhi za Allah ziwe juu yake nikamuuliza “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu nakuona hukai kikao chochote wala husomi Qur’ani wala huswali swala yoyote ile ila unaimalizia kwa kusoma maneno haya kwanini hasa? Akasema [Ndio anayesema kheri amalize kwa kheri na anayesema shari yanakuwa maneno haya ni kafara kwake]

 

[ سُبْحـانَكَ وَبِحَمدِك، لا إِلهَ إِلاّ أَنْتَ أَسْتَغْفِرُكَ وَأَتوبُ إِلَـيْكَ ]

 

[Kutakasika ni Kwako na sifa njema zote ni Zako, hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Wewe, nakuomba msamaha na ninarejea Kwako]      [Imepokewa na Al-Nnasaai, na Ahmad.]


SIKILIZA DUA YA KAFARA YA KIKAO


  


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669216
TodayToday881
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 218

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19ba7c999c17064988431777441703
title_69f19ba7c99ed10954719631777441703
title_69f19ba7c9a3c17775123531777441703

NISHATI ZA OFISI

title_69f19ba7ca01f4844853751777441703
title_69f19ba7ca06c19287469261777441703
title_69f19ba7ca0b913672203711777441703 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com