Menu

UTAJO UNAOSOMWA KATIKA KIKAO


 dua ya kikao


Imepokelewa kutoka kwa Ibn Omar amesema : "Alikuwa akihisabiwa Mtume kusoma kwake dua hii katika kikao kimoja ikifika idadi ya mara mia kabla hajasimama"

 

[ رَبِّ اغْفِـرْ لي، وَتُبْ عَلَـيَّ، إِنَّكَ أَنْـتَ التَّـوّابُ الغَـفُورُ ] 

 

[Mwenyezi Mungu nisamehe na nikubalie toba yangu, hakika Wewe ni mwingi wa kukubali toba, mwingi wa kusamehe]      [Imepokewa na Al-Ttirmidhiy.]


UTAJO UNAOSOMWA KATIKA KIKAO


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6786311
TodayToday1312
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 17

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68aa419abecd310391290491755988378
title_68aa419abedb72506843391755988378
title_68aa419abeea411305982381755988378

NISHATI ZA OFISI

title_68aa419ac046c17993952741755988378
title_68aa419ac054c12804430251755988378
title_68aa419ac063215422346261755988378 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com