Menu

UTAJO UNAOSOMWA KATIKA KIKAO


 dua ya kikao


Imepokelewa kutoka kwa Ibn Omar amesema : "Alikuwa akihisabiwa Mtume kusoma kwake dua hii katika kikao kimoja ikifika idadi ya mara mia kabla hajasimama"

 

[ رَبِّ اغْفِـرْ لي، وَتُبْ عَلَـيَّ، إِنَّكَ أَنْـتَ التَّـوّابُ الغَـفُورُ ] 

 

[Mwenyezi Mungu nisamehe na nikubalie toba yangu, hakika Wewe ni mwingi wa kukubali toba, mwingi wa kusamehe]      [Imepokewa na Al-Ttirmidhiy.]


UTAJO UNAOSOMWA KATIKA KIKAO


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669213
TodayToday878
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 221

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19b973e49821030113991777441687
title_69f19b973e4e81245800211777441687
title_69f19b973e53512041531441777441687

NISHATI ZA OFISI

title_69f19b973eb4a4705512421777441687
title_69f19b973eb962010100891777441687
title_69f19b973ebe18928225331777441687 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com