Menu

DUA YA WAKATI WA KUFUNGUA SAUMU


 dua yakungua 


 

[ ذَهبَ الظَّمأُ، وابتلَّت العروقُ وثَبَتَ الأجرُ إنْ شاء الله ]

 أخرجه أبي داود 2/306 وغيره

[Kiu kimeondoka na mishipa imelainika, na amethibiti malipa Allaah Akipenda.]      [Impokewa na Abuu Daud na wengineo]

Imepokelewa kutoka kwa 'Abdullaah bin 'Amr bin Al-'Aasw radhi za Allah ziwe juu yake  amesema: 

Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ: [Aliyefunga wakati wa kufuturu kwake ana du'aa isiyorudishwa.]

 

[ اللهم إني أسألك برحمتك التي وسعت كل شيءٍ أن تغفر لي ]

 

[Ewe Mwenyezi Mungu  hakika mimi nakuomba kwa rehema zako ambazo zimeenea kila kitu, unisamehe.]         [Imepokewa na Ibnu Maajah.]


DUA YA WAKATI WA KUFUNGUA SAUMU


  


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669220
TodayToday885
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 215

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19bd2e8ab35741733041777441746
title_69f19bd2e8b0420415021361777441746
title_69f19bd2e8b504002302981777441746

NISHATI ZA OFISI

title_69f19bd2e911014525584161777441746
title_69f19bd2e915f17102057921777441746
title_69f19bd2e91ac4453571751777441746 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com