Menu

DUA YA WAKATI WA KUFUNGUA SAUMU


 dua yakungua 


 

[ ذَهبَ الظَّمأُ، وابتلَّت العروقُ وثَبَتَ الأجرُ إنْ شاء الله ]

 أخرجه أبي داود 2/306 وغيره

[Kiu kimeondoka na mishipa imelainika, na amethibiti malipa Allaah Akipenda.]      [Impokewa na Abuu Daud na wengineo]

Imepokelewa kutoka kwa 'Abdullaah bin 'Amr bin Al-'Aasw radhi za Allah ziwe juu yake  amesema: 

Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ: [Aliyefunga wakati wa kufuturu kwake ana du'aa isiyorudishwa.]

 

[ اللهم إني أسألك برحمتك التي وسعت كل شيءٍ أن تغفر لي ]

 

[Ewe Mwenyezi Mungu  hakika mimi nakuomba kwa rehema zako ambazo zimeenea kila kitu, unisamehe.]         [Imepokewa na Ibnu Maajah.]


DUA YA WAKATI WA KUFUNGUA SAUMU


  


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887299
TodayToday432
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 44

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bbf923bd7e147089291782300562
title_6a3bbf923bdcf18290725671782300562
title_6a3bbf923be1b13941175271782300562

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bbf923c3db6801806501782300562
title_6a3bbf923c42821241971181782300562
title_6a3bbf923c47315055797451782300562 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com