Menu

 

DUA KABLA YA KULA

 

:إذا أكل أحدكم الطعام فليقل

Atakapo kula mmoja wenu chakula basi aseme:

[ بِسْمِ الله  ]

[Kwa jina la Mwenyezi Mungu]

Na akisahau mwanzo wake basi aseme:

[بِسمِ الله في أوله وآخره]

[Kwa jina la Mwenyezi Mungu  mwanzo wake na mwisho wake]       [Imepokewa na Abuu Daud na Al-Ttirmidhiy]

Amesema Mtume ﷺ:

 من أطعمه الله الطعام فليقل

Yeyote ambae Mwenyezi Mungu amemruzuku chakula aseme:

[اللهم بارك لنا فيه وأطعمنا خيراً منه]

[Ewe Mwenyezi Mungu tubariki katika chakula hichi na tulishe bora kuliko hichi.]

ومن سقاه الله لبناً فليقل

Na yoyote ambae amemruzuku maziwa basi aseme:

[اللهم بارك لنا فيه وزدنا منه]

[Ewe Mwenyezi Mungu tubarikie kinywaji hichi na utuzidishie]         [Imepokewa na Al-Ttirmidhiy.]


DUA KABLA YA KULA 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6786219
TodayToday1220
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 32

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68aa28076385b13669713751755981831
title_68aa2807639527557662701755981831
title_68aa280763a3612945865451755981831

NISHATI ZA OFISI

title_68aa280764fab18948370921755981831
title_68aa28076507219131617171755981831
title_68aa2807651579841775861755981831 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com