Menu

KINGA YA MUISLAMU


 maridh


 

[ اللهم اغفر لي وارحمني والحقني بالرفيق الأعلى ]

البخاري 7/10 ومسلم 4/1893

[Ewe Mwenyezi Mungu, nisamehe mimi na unirehemu na unikutanishe na waja walio katika daraja za juu.]     [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]

Imepokelewa kutoka kwa Bibi Aisha Radhi za Allah zawe juu yake  amesema: [Mtume wakati anakufa alikuwa akiingiza mikono yake ndani ya maji kisha akipangusa kwayo uso wake na akisema:

 

[ لا إله إلا الله إن للموت لسكرات ]

 

[Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu, hakika kifo kina uchungu]    [Imepokewa na Bukhari.]

 

لا إله إلا الله والله أكبر ، لا إله إلا الله وحده ، لا إله إلا الله وحده لا شريك لهُ ، لا إله إلا الله لهُ الملك ولهُ الحمد ، لا إله إلا الله ولا حول ولا قوة إلا بالله

أخرجه الترمذي وابن ماجه وصححه الألباني

[Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu, na Mwenyezi Mungu  ni Mkubwa, Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu  peke yake, hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu mpweke hana mshirika wake, hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki  ila ni Mwenyezi Mungu, ni wake Ufalme na sifa njema zote ni zake, hapana mola apasae kuabudiwa  kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu  na hapana uwezo wala nguvu isipokuwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu.]      [Imepokewa na Al-Ttirmidhiy na Ibnu Maajah na kusahihishwa na Al-Baaniy]    


DUA ANAYOOMBA MGONJWA ALIYEKATA TAMAA YA KUPONA


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668986
TodayToday123
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 24

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68676a04dad038968057771751607812
title_68676a04dadf81620702111751607812
title_68676a04daedc11301173881751607812

NISHATI ZA OFISI

title_68676a04dc48018461552181751607812
title_68676a04dc56720974072671751607812
title_68676a04dc63d17292551181751607812 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com