Menu

KINGA YA MUISLAMU


 mgonjwa


Imepokelewa na Ali Bin Abi Twalib amesema: nimemsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu   akisema : [Mtu anapomtembelea ndugu yake Muislamu mgonjwa basi hutembelea katika bustani ya peponi mpaka atakapoketi, naanapoketi hufunikwa na rehma ikiwa ni asubuhi wanamtakia rehma malaika sabini elfu mpaka jioni na ikiwa ni jioni wanamtakia rehma malaika sabini elfu mpaka asubuhi.]   [Imepokewa na Al-Ttirmidhiy na Ibnu Maajah na Ahmad.]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668987
TodayToday124
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 27

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68676a04dad038968057771751607812
title_68676a04dadf81620702111751607812
title_68676a04daedc11301173881751607812

NISHATI ZA OFISI

title_68676a04dc48018461552181751607812
title_68676a04dc56720974072671751607812
title_68676a04dc63d17292551181751607812 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com