KINGA YA MUISLAMU

Amesema Mtume ﷺ Mwenye kuwa neno lake la mwisho
[لا إلهَ إلاّ اللّه]
[Hapana mola apasae kuabudiwa kwahaki ila ni Mwenyezi Mungu]
………. Ataingia peponi [Imepokewa na Abuu Daud.]

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.