Menu

KINGA YA MUISLAMU


 Mgonjwa1


Alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu anapoingia kumzuru mgonjwa  akimwambia

 

[ لا بأس طهور إن شاء الله ]

 

[Hakuna neno, (ugonjwa) ni kusafishwa (na madhambi) anapopenda Mwenyezi Mungu. ]    [Imepokewa na Bukhari.]  

Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu : Hapana mja yeyote muislamu anaemtembelea mjongwa ambae wakati wake wa kufa bado haujafika na akamuombea mara saba

 

[ أسأل الله العظيم رب العرش العظيم أن يشفيك ]

 

[Namuomba Mwenyezi Mungu  Mtukufu Mola wa Arshi tukufu (akuponyeshe)]

Isipokuwa Mwenyezi Mungu  humponyesha mgonjwa huyo.   [Imepokewa na Al-Ttirmidhiy na Abuu Daud.]


DUA YA KUMTEMBELEA MGONJWA


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

8031845
TodayToday928
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 72

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d92d919a2442843481787663065
title_6a8d92d919a7413282920821787663065
title_6a8d92d919ac011458228341787663065

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d92d91a07218529740831787663065
title_6a8d92d91a0bf20410039331787663065
title_6a8d92d91a10c2989940351787663065 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com