Menu

KINGA YA MUISLAMU


 Mgonjwa1


Alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu anapoingia kumzuru mgonjwa  akimwambia

 

[ لا بأس طهور إن شاء الله ]

 

[Hakuna neno, (ugonjwa) ni kusafishwa (na madhambi) anapopenda Mwenyezi Mungu. ]    [Imepokewa na Bukhari.]  

Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu : Hapana mja yeyote muislamu anaemtembelea mjongwa ambae wakati wake wa kufa bado haujafika na akamuombea mara saba

 

[ أسأل الله العظيم رب العرش العظيم أن يشفيك ]

 

[Namuomba Mwenyezi Mungu  Mtukufu Mola wa Arshi tukufu (akuponyeshe)]

Isipokuwa Mwenyezi Mungu  humponyesha mgonjwa huyo.   [Imepokewa na Al-Ttirmidhiy na Abuu Daud.]


DUA YA KUMTEMBELEA MGONJWA


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887285
TodayToday418
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 41

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bbea2c48608539009101782300322
title_6a3bbea2c48ae10582822851782300322
title_6a3bbea2c48f917608684831782300322

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bbea2c4e825534953231782300322
title_6a3bbea2c4ece2344797771782300322
title_6a3bbea2c4f192095435901782300322 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com