Menu

KINGA YA MUISLAMU


 kinga ya watoto


Imepokelewa  na Ibn Abbas amesema  alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu  akiwakinga wajukuu wake (Hassan na Hussein) akisema :

 

[ أعيذكما بكلمات الله التامة ، من كل شيطان وهامة ، ومن كل عينِ لامة ]

 

[Nawakinga kwa maneno ya Mwenyezi Mungu  yaliyotimia awakinge kutokana na kila shetani na uvamizi na kila jicho lenye kudhuru.]      [Imepokewa na Bukhari.]


DUA INAYO KINGWA NAYO WATOTO


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887420
TodayToday553
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 43

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bd4cc3e2241297624201782305996
title_6a3bd4cc3e27311689032181782305996
title_6a3bd4cc3e2bf9072518701782305996

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bd4cc3e83d8617774481782305996
title_6a3bd4cc3e88810620983001782305996
title_6a3bd4cc3e8d320000621821782305996 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com