Menu

KINGA YA MUISLAMU


 DUA YA UZITO1


Amesema Mtume [muumini mwenye nguvu ni bora na anapendeza zaidi kwa Mwenyezi Mungu  kuliko mumini dhaifu, na wote wana kheri.  Fanya pupa kwa kile kitakacho kunufaisha na taka msaada kwa Mwenyezi Mungu   wala usichoke na kikikupata kitu chochote kibaya basi usiseme “lau”  kama ningefanya kadha na kadha  yasingenitokea haya, lakini sema:

[ قدر الله وما شاء فعل ]

 

[Amepanga Mwenyezi Mungu  na analolitaka anafanya]

…… hakika neno la “lau”  linafungua matendo ya shetani’         [Imepokewa na Muslim.]

 

Hakika Mwenyezi Mungu  analaumu mwenye kukata tamaa, lakini usivunjike moyo na ukishindwa na jambo kabisa sema:

 

[ حسبي الله ونعم الوكيل ]

 

[Mwenyezi Mungu  ananitosheleza, naye ni Mbora wa kutegemewa.]


SIKILIZA DUA HII 


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669243
TodayToday908
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 215

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19c8f98ccb7237031031777441935
title_69f19c8f98d315117405091777441935
title_69f19c8f98d8e20308416411777441935

NISHATI ZA OFISI

title_69f19c8f996a412674675261777441935
title_69f19c8f997051087620251777441935
title_69f19c8f997668062128031777441935 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com