Menu

KINGA YA MUISLAMU


 DUA YA UZITO1


Amesema Mtume [muumini mwenye nguvu ni bora na anapendeza zaidi kwa Mwenyezi Mungu  kuliko mumini dhaifu, na wote wana kheri.  Fanya pupa kwa kile kitakacho kunufaisha na taka msaada kwa Mwenyezi Mungu   wala usichoke na kikikupata kitu chochote kibaya basi usiseme “lau”  kama ningefanya kadha na kadha  yasingenitokea haya, lakini sema:

[ قدر الله وما شاء فعل ]

 

[Amepanga Mwenyezi Mungu  na analolitaka anafanya]

…… hakika neno la “lau”  linafungua matendo ya shetani’         [Imepokewa na Muslim.]

 

Hakika Mwenyezi Mungu  analaumu mwenye kukata tamaa, lakini usivunjike moyo na ukishindwa na jambo kabisa sema:

 

[ حسبي الله ونعم الوكيل ]

 

[Mwenyezi Mungu  ananitosheleza, naye ni Mbora wa kutegemewa.]


SIKILIZA DUA HII 


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6786218
TodayToday1219
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 32

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68aa28076385b13669713751755981831
title_68aa2807639527557662701755981831
title_68aa280763a3612945865451755981831

NISHATI ZA OFISI

title_68aa280764fab18948370921755981831
title_68aa28076507219131617171755981831
title_68aa2807651579841775861755981831 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com