Menu

KINGA YA MUISLAMU


 DUA YA UZITO1


Amesema Mtume [muumini mwenye nguvu ni bora na anapendeza zaidi kwa Mwenyezi Mungu  kuliko mumini dhaifu, na wote wana kheri.  Fanya pupa kwa kile kitakacho kunufaisha na taka msaada kwa Mwenyezi Mungu   wala usichoke na kikikupata kitu chochote kibaya basi usiseme “lau”  kama ningefanya kadha na kadha  yasingenitokea haya, lakini sema:

[ قدر الله وما شاء فعل ]

 

[Amepanga Mwenyezi Mungu  na analolitaka anafanya]

…… hakika neno la “lau”  linafungua matendo ya shetani’         [Imepokewa na Muslim.]

 

Hakika Mwenyezi Mungu  analaumu mwenye kukata tamaa, lakini usivunjike moyo na ukishindwa na jambo kabisa sema:

 

[ حسبي الله ونعم الوكيل ]

 

[Mwenyezi Mungu  ananitosheleza, naye ni Mbora wa kutegemewa.]


SIKILIZA DUA HII 


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6669021
TodayToday158
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 20

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68677146baa7618240467591751609670
title_68677146bab5b546824511751609670
title_68677146bac39219621941751609670

NISHATI ZA OFISI

title_68677146bc1be6571689291751609670
title_68677146bc2a73449195371751609670
title_68677146bc37e15581721691751609670 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com