Menu

KINGA YA MUISLAMU


 DUA YA UZITO1


Amesema Mtume [muumini mwenye nguvu ni bora na anapendeza zaidi kwa Mwenyezi Mungu  kuliko mumini dhaifu, na wote wana kheri.  Fanya pupa kwa kile kitakacho kunufaisha na taka msaada kwa Mwenyezi Mungu   wala usichoke na kikikupata kitu chochote kibaya basi usiseme “lau”  kama ningefanya kadha na kadha  yasingenitokea haya, lakini sema:

[ قدر الله وما شاء فعل ]

 

[Amepanga Mwenyezi Mungu  na analolitaka anafanya]

…… hakika neno la “lau”  linafungua matendo ya shetani’         [Imepokewa na Muslim.]

 

Hakika Mwenyezi Mungu  analaumu mwenye kukata tamaa, lakini usivunjike moyo na ukishindwa na jambo kabisa sema:

 

[ حسبي الله ونعم الوكيل ]

 

[Mwenyezi Mungu  ananitosheleza, naye ni Mbora wa kutegemewa.]


SIKILIZA DUA HII 


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887432
TodayToday565
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 38

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bd6759acf518325583711782306421
title_6a3bd6759ad4411188370431782306421
title_6a3bd6759ad9113417659161782306421

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bd6759b3543390625211782306421
title_6a3bd6759b3a25892207301782306421
title_6a3bd6759b3ee8684742471782306421 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com