Menu

KINGA YA MUISLAMU


 msikiti


 

اللهم اجعل في قلبي نوراً ، وفي لساني نوراً ، وفي سمعي نوراً ، وفي بصري نوراً ، ومن فوقي نوراً ، ومن تحتي نوراً ، وعن يميني نوراً ، وعن شمالي نوراً ، ومن أمامي نوراً ، ومن خلفي نوراً  ، و اجعل في نفسي نوراً ، وأعظم لي نوراً ، وعظم لي نوراً ، واجعل لي نوراً ، واجعلني نوراً ، اللهم أعطني نوراً ، واجعل في عصبي نوراً ، وفي لحمي نوراً ، وفي دمي نوراً ، وفي شعري نوراً ، وفي بشري نوراً

[ اللهم اجعل لي نوراً في قبري .. ونوراً في عظامي ]  [ وزدني نوراً ، وزدني نوراً ، وزدني نوراً ]  [  وهب لي نوراً على نوراً] 

أخرجه البخاري ومسلم

[Ewe Mwenyezi Mungu, weka katika moyo wangu nuru, na katika ulimi wangu nuru, na katika masikio yangu nuru, na katika macho yangu nuru, na juu yangu nuru, na chini yangu nuru, na kuliani kwangu nuru, na kushotoni kwangu nuru, na mbele yangu nuru, na nyuma yangu nuru, na weka katika nafsi yangu nuru, na nifanyie kubwa nuru, na nifanyie nyingi nuru, na uniwekee mimi nuru, na unifanyie mimi nuru, Ewe Mwenyezi Mungu nipe nuru, na uweke  katika  mishipa yangu nuru, na katika  nyama  yangu nuru, na katika damu yangu nuru, na katika nywele zangu nuru, na katika ngozi yangu nuru, (Ewe Mwenyezi Mungu  niwekee nuru katika kaburi langu, na nuru katika mifupa yangu) (Na unizidishie nuru, na unizidishie nuru, na unizidishie nuru) (na unipe nuru juu ya nuru. )]      [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]


SIKILIZA DUA YA KWENDA MSIKITINI 



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6669002
TodayToday139
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 22

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68676db09556320312161421751608752
title_68676db09563918263580591751608752
title_68676db0957051278370341751608752

NISHATI ZA OFISI

title_68676db096a361117062361751608752
title_68676db096b058703328001751608752
title_68676db096bca1936938801751608752 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com