Menu

KINGA YA MUISLAMU


 maxresdefault 37


 

[ بسم الله ، توكَّلْتُ على الله ، ولا حَوْلَ ولا قُوةَ إلا بالله]

       أبو داود 4/ 325 والترمذي 5/ 490 وانظر صحيح الترمذي3/ 151

[Kwa jina la Mwenyezi Mungu (ninatoka) ninamtegemea Mwenyezi Mungu,na hapana uwezo wala nguvu ila vyote vinatokana na Mungu.]     [Imepokewa na Abuu Daud na Al-Tirmidhiy].

 

 [اللهُمَ إني أعُوذُ بِكَ أن أَضِلَّ أوْ أُضَلَّ أَوْ أزِلَّ، أو أُزَلَّ، أوْ أظلِم أوْ أُظْلَم، أوْ أَجْهَلَ أوْ يُجْهَلَ عَلَيَّ]

     أهل السنن وانظر صحيح الترمذي 3/ 152 وصحيح ابن ماجه 2/ 336  

[Ewe Mwenyezi Mwenyezi Mungu najilinda kwako kutokamana na kupotea au kupoteza,au kuteleza au kumtelezesha mtu,au kudhulumu au kudhulumiwa,au kuwa mjinga au kufanywa mjinga.]   [Imepokewa na Al-Tirmidhiy na Ibnu Maajah na wengineo kwenye vitabu vya Hadithi.]


SIKILIZA DUA YA KUTOKA NYUMBANI



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887284
TodayToday417
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 40

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bbe6467b4613887113121782300260
title_6a3bbe6467b961091518621782300260
title_6a3bbe6467be310385996791782300260

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bbe646818613625752311782300260
title_6a3bbe64681d37707933641782300260
title_6a3bbe646821e15072906541782300260 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 3 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com