Menu

KINGA YA MUISLAMU


 baada ya udhu


 

أشهد أن لا إله إلا الله وحده لا شريك له ، وأشهد أن محمداً عبده ورسوله]       رواه مسلم1/ 209]

 

[Nakiri kwa moyo na kusema kwaulimi kwamba hapana Mola apasae kuabudiwa  kwa haki ila ni Mwenyezi Mungu , peke yake, wala hana mshirika wake, na ninakiri kwamba Muhammad ﷺ ni mja wake na ni Mtume wake.]        [Imepokewa na Muslim.]

 

اللهم اجعلني من التوابين واجعلني من المتطهرين]     الترمذي 1/ 78 وانظر صحيح الترمذي1/ 18]

 

[Ewe Mwenyezi Mungu  nijaaliye niwe miongoni mwa wale wanaoomba  msamaha, na nijaalie miongoni  mwa wale waliosafi.]        [Imepokewa na Al-Tirmidhiy.]

 

 

سبحانك اللهم وبحمدك أشهد أن لا إله إلا أنت أستغفرك وأتوب إليك]     النسائي في عمل اليوم والليلة ص173]

 

[Utakatifu ni Wako, Ewe Mola wangu, na shukurani zote zinarudi Kwako, nakiri kwamba hapana apasae kuabudiwa kwa haki ila ni Wewe, naomba msamaha wako, na narejea kwako (kwa kutubia )]       [Imepokewa na Al-Nasai.]


SIKILIZA DUA BAADA YA KUTAWADHA



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

8031843
TodayToday926
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 66

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d92ae302291471401951787663022
title_6a8d92ae3027a18187984941787663022
title_6a8d92ae302c712611414161787663022

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d92ae308ed10679538431787663022
title_6a8d92ae3093b13708705621787663022
title_6a8d92ae3098d12655304001787663022 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com