Menu

KITAAB AT-TAWHIID


kitab altawheed


باب (12) من الشرك: الاستعاذة بغير الله

وقول الله تعالى: {وَأَنَّهُ كَانَ رِجَالٌ مِنَ الْأِنْسِ يَعُوذُونَ بِرِجَالٍ مِنَ الْجِنِّ فَزَادُوهُمْ رَهَقاً} سورة الجن: 6

وعن خولة بنت حكيم قالت: سمعت رسول الله صلى الله عليه وسلم يقول: [من نزل منْزلا فقال: أعوذ بكلمات الله التامات من شر ما خلق، لم يضره شيء حتى يرحل من منْزله ذلك]     رواه مسلم
:فيه مسائل
الأولي: تفسير آية الجن
الثانية: كونه من الشرك
الثالثة: الاستدلال على ذلك بالحديث، لأن العلماء يستدلون به على أن كلمات الله غير مخلوقة. قالوا: لأن الاستعاذة بالمخلوق شرك
الرابعة: فضيلة هذا الدعاء مع اختصاره
الخامسة: أن كون الشيء يحصل به منفعة دنيوية، من كف شر أو جلب نفع، لا يدل على أنه ليس من الشرك


MLANGO WA 12 NI KATIKA USHIRIKINA KUOMBA KINGA KWA ASIYEKUWA MWENYEZI MUNGU 


Na kauli ya Mwenyezi Mungu:

[Na hakika walikuwako wanaume katika watu walio kuwa wakitafuta kujikinga kwa wanaume wa kijini; kwa hivyo wakawazidisha madhambi.]  [Surat Al-Jinn: 6]

Imepokelewa kutoka kwa Khawlah bint Hakiym (Radhi za Allah ziwe juu yake) Amesema: Nimemsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ akisema: [Atakayefikia mahali kisha akasema: A’uwdhu bikalimati-LLaahit-taammati min sharri maa Khalaq' "Najilinda kwa maneno ya Mwenyezi Mungu yaliyotimia na shari ya Alichokiumba" hakuna kitakachomdhuru hadi atakapoondoka mahali pake hapo]    [Imepokewa naMuslim]

Masuala Muhimu Yaliyomo:

1. Tafsiri ya Aya katika Suwratul-Jinn.

2. Kuwa Kuomba ulinzi kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu  ni shirki.

3. Kutolea ushuhuda juu ya hilo kwa Hadithi, kwa sababu Wanachuoni wanathibitisha kuwa maneno ya Mwenyezi Mungu Mtukufu (yaani Qur’aan) kwa sababu kujikinga na Viumbe ni shirki.

4. Fadhila ya Du’a hii japokuwa ni fupi.

5. Kupata Manufaa ya kiduna Juu ya kitu, kama kuzuia Madhara au kupata Manufaa, hilo Halimanishi kuwa jamabo hilo si shirki.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031731
TodayToday814
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 116

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d82b5f1ee86433850161787658933
title_6a8d82b5f1f1412799897131787658933
title_6a8d82b5f1f6314401200461787658933

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d82b5f280e7662751351787658933
title_6a8d82b5f285c16658756001787658933
title_6a8d82b5f28aa6696771631787658933 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com