Menu

KITAAB AT-TAWHIID


kitab altawheed


باب (11) من الشرك: النذر لغير الله
وقول الله تعالى: {يُوفُونَ بِالنَّذْرِ وَيَخَافُونَ يَوْماً كَانَ شَرُّهُ مُسْتَطِيراً}   الإنسان:7

وقوله: {وَمَا أَنْفَقْتُمْ مِنْ نَفَقَةٍ أَوْ نَذَرْتُمْ مِنْ نَذْرٍ فَإِنَّ اللَّهَ يَعْلَمُهُ}    البقرة:270
وفي الصحيح عن عائشة رضي الله عنها: أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال: [من نذر أن يطيع الله فليطعه ; ومن نذر أن يعصي الله فلا يعصه]      رواه البخاري
:فيه مسائل
الأولي: وجوب الوفاء بالنذر
الثانية: إذا ثبت كونه عبادة الله، فصرفه إلى غيره شرك
الثالثة: أن نذر المعصية لا يجوز الوفاء به


MLANGO WA 11 KUWEKA NADHIRI KWA ASIYEKUWA MWENYEZI MUNGU NI SHIRKI


Na kauli ya Mwenyezi Mungu:

[Wanatimiza ahadi,na wanaiogopa siku ambayo shari yake inaenea sana,]  [Al-Insaan: 7]

Na kauli Yake  :

[Na chochote mnacho toa au nadhiri mnazo weka basi hakika Mwenyezi Mungu anajua.]    [Al-Baqarah: 270]

Na katika Asw-Swahihi: Imepokelewa kutoka kwaAisha (Radhi za Allah ziwe juu yake) kwamba Mtume amesema: [Atakayeweka nadhiri kumtii Mwenyezi Mungu na amtii. Na atakayeweka nadhiri kumuasi Mwenyezi Mungu basi asimuasi]    [Imepokewa na Bukhari]

Masuala Muhimu Yaliyomo:

1. Uwajibu wa kutekeleza nadhiri.

2. Ikiwa imethibitika kuwa nadhiri Ibada ya Mwenyezi Mungu , basi kumfanyia mwengine ni shirki.

3. Kwamba nadhiri ya masia haifai kutekeleza.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031731
TodayToday814
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 126

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d82b0785b414540662251787658928
title_6a8d82b07860912043540471787658928
title_6a8d82b0786575905213561787658928

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d82b078c5820654025051787658928
title_6a8d82b078ca621344453231787658928
title_6a8d82b078cf318825322501787658928 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com