Menu

MTU ATAFANYA NINI ATAKAPO KOSA MAWE YA KUJISAFISHIA?


 

 

Swali:Tumekataza kutumia mfupa au choo cha hayawani katika kujisafishia. Je mtu atakapo kosa Maji na kukosa mawe atafanya nini?


Jibu: Mtu atakapo kosa maji au mawe ya kujisafishia basi atatumia kile atakacho pata kama ni mfupa au hata kama ni choo cha myama. Kwa sababu baadhi ya Wanachuoni wanasema katazo la kutumia mfupa au choo si katazo la kuharamishwa bali ni katazo la karaha. Yaani ni makruhi mtu kutumia mfupa au choo lakini atakapo kosa cha kusafishia na kukawa hakuna kitu kingine basi atafaa kutumia ili kujisafishia ili apata kuswali na asipo pata kitu chochote basi afaa kutumia mkono wake kujisafishia kisha ausafishe mkono wake kwa mchanga kisha atayamamu na aswali kisha atakapo pata maji atajisafisha vizuri kwa neno lake Mtume (S.A.W).


الصعيد الطيب وضوء المسلم، وإن لم يجد الماء عشر سنين، وإذا وجد الماء فليمسه بشرته.] الحديث رواه أحمد في المسند]

[Mchanga msafi ni udhuu wa Muislamu hata asipo pata Maji miaka kumi,na atakapo pata Maji basi ayagusishe Ngozi yake]  yaani awe ni mwenye kutumia maji kwa kujisafisha.
Hadihi imepokewa na Imam Ahmad katika Musnad yake.


Na Allah ndie Mjuzi zaidi.

 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668192
TodayToday7955
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 268

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e62064ce14920502461777434210
title_69f17e620653617431215801777434210
title_69f17e62065931787933431777434210

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e621d9fd13833326311777434210
title_69f17e621da4e2778741551777434210
title_69f17e621da9a9971783461777434210 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com