Menu

MTU ATAFANYA NINI ATAKAPO KOSA MAWE YA KUJISAFISHIA?


 

 

Swali:Tumekataza kutumia mfupa au choo cha hayawani katika kujisafishia. Je mtu atakapo kosa Maji na kukosa mawe atafanya nini?


Jibu: Mtu atakapo kosa maji au mawe ya kujisafishia basi atatumia kile atakacho pata kama ni mfupa au hata kama ni choo cha myama. Kwa sababu baadhi ya Wanachuoni wanasema katazo la kutumia mfupa au choo si katazo la kuharamishwa bali ni katazo la karaha. Yaani ni makruhi mtu kutumia mfupa au choo lakini atakapo kosa cha kusafishia na kukawa hakuna kitu kingine basi atafaa kutumia ili kujisafishia ili apata kuswali na asipo pata kitu chochote basi afaa kutumia mkono wake kujisafishia kisha ausafishe mkono wake kwa mchanga kisha atayamamu na aswali kisha atakapo pata maji atajisafisha vizuri kwa neno lake Mtume (S.A.W).


الصعيد الطيب وضوء المسلم، وإن لم يجد الماء عشر سنين، وإذا وجد الماء فليمسه بشرته.] الحديث رواه أحمد في المسند]

[Mchanga msafi ni udhuu wa Muislamu hata asipo pata Maji miaka kumi,na atakapo pata Maji basi ayagusishe Ngozi yake]  yaani awe ni mwenye kutumia maji kwa kujisafisha.
Hadihi imepokewa na Imam Ahmad katika Musnad yake.


Na Allah ndie Mjuzi zaidi.

 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668026
TodayToday714
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 14

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68669867761436184925161751554151
title_686698677622d16483867111751554151
title_686698677630d11008458791751554151

NISHATI ZA OFISI

title_68669867778e020131186481751554151
title_68669867779c8539681181751554151
title_6866986777aa45221158701751554151 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com