Menu

HUKMU YA KUINGIA CHOONI NA KASETI ZA QUR'ANI


SWALI :YAFAA MTU KUINGIA CHOONI NA KASETI YA QUR'ANI AU NA SIMU ILOHIFADHI QUR'ANI ?

JIBU: KWANZA KABISA NI MAKRUHI MTU KUINGIA CHOONI NA KITU CHOCHOTE KILICHOANDIKWA JINA LA MWENYEZI MUNGU AU KITU KILICHOANDIKWA CHOCHOTE KUHUSU QUR'ANI,

NA MADHHABU YA JAMHURI YA WANACHUONI KATIKA MADHABU YA HANAFIA NA MALIKIA NA SHAFIA KUWA NI MAKURUHU MTU KUINGIA CHOONI NI DIRHAMU ILIANDIKWA JINA LA MWENYEZIMUNGU NA HAIKUSITIRIWA, LAKINI IKIWA IMESIRITIRIWA BASI HUNDOKA UKARAHA WAKE,NA HUU VILE VILE NI MSIMAMO WA IMAM AHAMD KATIKA MOJA YARIWAYA ZAKE,
AMA KUINGIA NA KASETI ZA QUR'ANI AU SIMU ILIOHIFADHI WA NDANI YAKE QUR'ANI NA IKAWA HAIKU NJEYA SCREEN BASI ITAKUWA YAFAA KWA SABABU HAINGII KATIKA KATAZO WALILIOILEZEA WANACHUONI KUWA NI MAKRUHU KUNGIA CHOONI NA KITU CHOCHOTE KILICHOANDIKWA JINA LA MENYEZIMUNGU KWA KUTOPATOKANA HERUFI ZILIZO WAZI NDANI YAKE

Na Allah ndie mjuzi zaidi


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668008
TodayToday696
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 26

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_686694ca9b75916565373161751553226
title_686694ca9b83a8671383051751553226
title_686694ca9b91010505901751553226

NISHATI ZA OFISI

title_686694ca9ceca14034352851751553226
title_686694ca9cfa68478615741751553226
title_686694ca9d07e15764738281751553226 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com