Menu

HUKMU YA KUINGIA CHOONI NA KASETI ZA QUR'ANI


SWALI :YAFAA MTU KUINGIA CHOONI NA KASETI YA QUR'ANI AU NA SIMU ILOHIFADHI QUR'ANI ?

JIBU: KWANZA KABISA NI MAKRUHI MTU KUINGIA CHOONI NA KITU CHOCHOTE KILICHOANDIKWA JINA LA MWENYEZI MUNGU AU KITU KILICHOANDIKWA CHOCHOTE KUHUSU QUR'ANI,

NA MADHHABU YA JAMHURI YA WANACHUONI KATIKA MADHABU YA HANAFIA NA MALIKIA NA SHAFIA KUWA NI MAKURUHU MTU KUINGIA CHOONI NI DIRHAMU ILIANDIKWA JINA LA MWENYEZIMUNGU NA HAIKUSITIRIWA, LAKINI IKIWA IMESIRITIRIWA BASI HUNDOKA UKARAHA WAKE,NA HUU VILE VILE NI MSIMAMO WA IMAM AHAMD KATIKA MOJA YARIWAYA ZAKE,
AMA KUINGIA NA KASETI ZA QUR'ANI AU SIMU ILIOHIFADHI WA NDANI YAKE QUR'ANI NA IKAWA HAIKU NJEYA SCREEN BASI ITAKUWA YAFAA KWA SABABU HAINGII KATIKA KATAZO WALILIOILEZEA WANACHUONI KUWA NI MAKRUHU KUNGIA CHOONI NA KITU CHOCHOTE KILICHOANDIKWA JINA LA MENYEZIMUNGU KWA KUTOPATOKANA HERUFI ZILIZO WAZI NDANI YAKE

Na Allah ndie mjuzi zaidi


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668196
TodayToday7959
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 280

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e82683d410704842831777434242
title_69f17e826842814107804851777434242
title_69f17e826847713176519061777434242

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e8268ac79215254581777434242
title_69f17e8268b152656868291777434242
title_69f17e8268b613041934611777434242 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com