Menu

NI HARAMU KUTUMIA MAJI YALIOSOMEWA KUJITWAHIRISHA ?


Swali: Je yafaa kutumia maji yaliosomewa na maji ya kawaida katika kujitwahirisha?

Jawabu: Hakuna ubaya wa kutumia maji yalio changanywa katika kujitwahrisha au kutumia sampuli yoyte ile,si dhambi wala mtu hadhuriki kama watu wengi wanavyo dhania.

Na Allah ndie mjuzi zaidi


Chanzo: Islamweb.com


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785491
TodayToday492
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 20

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a98c24b0cf42966647381755941924
title_68a98c24b0de01300998931755941924
title_68a98c24b0ec4228282541755941924

NISHATI ZA OFISI

title_68a98c24b24f94856172211755941924
title_68a98c24b25ec20744091491755941924
title_68a98c24b26b89955552381755941924 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 10 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com