Menu

HUKMU YA KUITIKIA SALAMU KATIKA SEHEMU ZA KUTAWADHIA ZILO KARIBIANA NA CHOO


Swali: Ni ipi hukumu ya kumsalimia mtu akiwa katika sehemu ya kutawadhia ambapo pako karibu na choo?

Jibu: Choo ni sehemu iliokusudiwa kukidhia haja. Kwa sababu ni sehemu mtu anakuwa peke yake na haonekaniwi na watu. Lakini akiwa kandoka yuko sehemu ya kutawadhia basi yafaa kuitikia salamu wala haihisabiwi kuwa yuko chooni hata kama choo kiko karibu na yeye. Vile vile yuwafaa kutoa salamu na kupiga Bismallahi wakati wa kutawadha.

Na Allah ndie mjuzi zaidi.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785493
TodayToday494
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 27

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a98c24b0cf42966647381755941924
title_68a98c24b0de01300998931755941924
title_68a98c24b0ec4228282541755941924

NISHATI ZA OFISI

title_68a98c24b24f94856172211755941924
title_68a98c24b25ec20744091491755941924
title_68a98c24b26b89955552381755941924 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com