Menu

HUKMU YA KUSWALI IJUMAA KWA MSAFIRI


 

 

Suali: Ni ipi hukmu ya kuswali Swala ya Ijumaa kwa Msafiri?

Jawabu: Kwanza kabisa msafiri haimpasi kuswali Ijumaa, imekuja katika kitabu cha Imamu Al Nnawawiy  "Al Majmuu" Haimpasi kuswali Ijumaa kwa msafiri"
Lakini ikiwa msafiri ataamua kuswali Ijumaa pamoja na watu basi itamtosheleza na hatoswali Adhuhuri, Asema Sheikh Ibnu Baaz katika Fatawa za Nuur ala Al Darbi : "Na lau msafiri ataswali Ijumaa na watu itamtosheleza na kutoswali Adhuhuri, kwa sababu msafiri halazimiki kuswali Ijumaa, lau ataingia kwenye mji na yeye ni msafiri akaswali na wao Ijumaa itamtosheleza na kutoswali Adhuhuri".
Ama kuswali Ijumaa peke yake au kuchanganya swala ya Ijumaa pamoja na Alasiri hilo halifai wala halitamtosheleza, lakini la uwajibu kwake ni kuswali Adhuhuri hali ya kuipunguza na hakuna ubaya ikiwa itakusanya pamoja na Alasiri kwa kupunguza.


Na Allah ndie Mjuzi zaidi.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668134
TodayToday822
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 16

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866b1be3fc0a10142221441751560638
title_6866b1be3fcf64650867111751560638
title_6866b1be3fde45629228251751560638

NISHATI ZA OFISI

title_6866b1be413a512608121751751560638
title_6866b1be4148c9038304691751560638
title_6866b1be4157a20644491961751560638 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com