Menu

HUKMU YA KUSWALI IJUMAA KWA MSAFIRI


 

 

Suali: Ni ipi hukmu ya kuswali Swala ya Ijumaa kwa Msafiri?

Jawabu: Kwanza kabisa msafiri haimpasi kuswali Ijumaa, imekuja katika kitabu cha Imamu Al Nnawawiy  "Al Majmuu" Haimpasi kuswali Ijumaa kwa msafiri"
Lakini ikiwa msafiri ataamua kuswali Ijumaa pamoja na watu basi itamtosheleza na hatoswali Adhuhuri, Asema Sheikh Ibnu Baaz katika Fatawa za Nuur ala Al Darbi : "Na lau msafiri ataswali Ijumaa na watu itamtosheleza na kutoswali Adhuhuri, kwa sababu msafiri halazimiki kuswali Ijumaa, lau ataingia kwenye mji na yeye ni msafiri akaswali na wao Ijumaa itamtosheleza na kutoswali Adhuhuri".
Ama kuswali Ijumaa peke yake au kuchanganya swala ya Ijumaa pamoja na Alasiri hilo halifai wala halitamtosheleza, lakini la uwajibu kwake ni kuswali Adhuhuri hali ya kuipunguza na hakuna ubaya ikiwa itakusanya pamoja na Alasiri kwa kupunguza.


Na Allah ndie Mjuzi zaidi.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887138
TodayToday271
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 39

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba0cb7bd685467279011782292683
title_6a3ba0cb7bdb813747081361782292683
title_6a3ba0cb7be059339593251782292683

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba0cb7c40c8814371301782292683
title_6a3ba0cb7c45a4178151731782292683
title_6a3ba0cb7c4a514813767641782292683 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com