Menu

HUKMU YA KUSWALI IJUMAA KWA MSAFIRI


 

 

Suali: Ni ipi hukmu ya kuswali Swala ya Ijumaa kwa Msafiri?

Jawabu: Kwanza kabisa msafiri haimpasi kuswali Ijumaa, imekuja katika kitabu cha Imamu Al Nnawawiy  "Al Majmuu" Haimpasi kuswali Ijumaa kwa msafiri"
Lakini ikiwa msafiri ataamua kuswali Ijumaa pamoja na watu basi itamtosheleza na hatoswali Adhuhuri, Asema Sheikh Ibnu Baaz katika Fatawa za Nuur ala Al Darbi : "Na lau msafiri ataswali Ijumaa na watu itamtosheleza na kutoswali Adhuhuri, kwa sababu msafiri halazimiki kuswali Ijumaa, lau ataingia kwenye mji na yeye ni msafiri akaswali na wao Ijumaa itamtosheleza na kutoswali Adhuhuri".
Ama kuswali Ijumaa peke yake au kuchanganya swala ya Ijumaa pamoja na Alasiri hilo halifai wala halitamtosheleza, lakini la uwajibu kwake ni kuswali Adhuhuri hali ya kuipunguza na hakuna ubaya ikiwa itakusanya pamoja na Alasiri kwa kupunguza.


Na Allah ndie Mjuzi zaidi.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668189
TodayToday7952
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 266

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e59672b48693816281777434201
title_69f17e59672fa10273233581777434201
title_69f17e5967356113869021777434201

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e5967d6420736306021777434201
title_69f17e5967dc8799563101777434201
title_69f17e5967e2814805846861777434201 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com