Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي موسى الأَشعري رضي اللَّه عنه قال : كان النبي صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم إِذَا أَتَاهُ طالِبُ حاجةٍ أَقْبَلَ عَلَى جُلسائِهِ فقال : « اشْفَعُوا تُؤجَرُوا ويَقْضِي اللَّه عَلَى لِسان نَبِيِّهِ ما أَحبَّ »    متفق عليه
«وفي رواية : « مَا شَاءَ


Kutoka kwa Abuu Musa Al-Ash'ariy  (Radhi za Allah ziwe juu yao) Amesema: alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu  anapojiwa na mwenye haja, huwaelekea walioketi pamoja naye akiwambia: [Ombeeni mtalipwa, na Mwenyezi Mungu hukudhi (haja) kwa Ulimi wa Nabii wake Anavyopenda]     [Imepokewa na Muslim]

Na katika Riwaya nyingene imesema: [Hutekeleza Anavyotaka]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6668241
TodayToday929
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 40

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866c764d455310267011401751566180
title_6866c764d46446349341191751566180
title_6866c764d472d8948717831751566180

NISHATI ZA OFISI

title_6866c764d5d217569551671751566180
title_6866c764d5e0612027847291751566180
title_6866c764d5ee49933630701751566180 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com