Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي موسى الأَشعري رضي اللَّه عنه قال : كان النبي صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم إِذَا أَتَاهُ طالِبُ حاجةٍ أَقْبَلَ عَلَى جُلسائِهِ فقال : « اشْفَعُوا تُؤجَرُوا ويَقْضِي اللَّه عَلَى لِسان نَبِيِّهِ ما أَحبَّ »    متفق عليه
«وفي رواية : « مَا شَاءَ


Kutoka kwa Abuu Musa Al-Ash'ariy  (Radhi za Allah ziwe juu yao) Amesema: alikuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu  anapojiwa na mwenye haja, huwaelekea walioketi pamoja naye akiwambia: [Ombeeni mtalipwa, na Mwenyezi Mungu hukudhi (haja) kwa Ulimi wa Nabii wake Anavyopenda]     [Imepokewa na Muslim]

Na katika Riwaya nyingene imesema: [Hutekeleza Anavyotaka]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668633
TodayToday298
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 777

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f18c9a66a7f19938542871777437850
title_69f18c9a66ae717503429071777437850
title_69f18c9a66b2716525003541777437850

NISHATI ZA OFISI

title_69f18c9a679af18320392161777437850
title_69f18c9a67a118604005641777437850
title_69f18c9a67a709101454341777437850 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com