Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي هريرة رضي اللَّه عنه أَنَّ رسول الَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « حقُّ الْمُسْلمِِ عَلَى الْمُسْلِمِ خمسٌ : رَدُّ السَّلامِ ، وَعِيَادَةُ الْمرِيضَ ، واتِّبَاعُ الْجنَائِزِ ، وإِجابة الدَّعوةِ ، وتَشمِيت العْاطِسِ »   متفق عليه
وفي رواية لمسلمٍ : « حق الْمُسْلمِ سِتٌّ : إِذا لقِيتَهُ فسلِّم عليْهِ ، وإِذَا دَعاكَ فَأَجبْهُ ، وَإِذَا اسْتَنْصَحَكَ فَانْصحْ لهُ ، وإِذا عطَس فحمِد اللَّه فَشَمِّتْهُ . وَإِذَا مرِضَ فَعُدْهُ ، وَإِذَا ماتَ فاتْبعهُ


Kutoka kwa Abuu Hurayra (Radhi za Allah ziwe juu yake) kutoka kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu  Amesema: [Haki ya Muislamu juu ya Muislamu mwenzake ni tano: Kurudisha salamu, kumzuru mgonjwa, kumfuata jeneza, kuitikia mwaliko na kumwombea Dua aliyepiga chafya (aliyechumua).] [Imepokewa na Bukhari na Muslim]

Na katika Riwaya ya Muslim [Haki ya Muislamu ni sita: Unapokutana naye umsalimie, anapokualika umwitikie, anapotaka nasaha mnasihi, anapochemua na akamuhimidi Mwenyezi Mungu (kwa kusema Alhamdulillha) muombee Dua, akiwa mgonjwa mzuru na anapokufa fuata (jeneza lake).] 


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887016
TodayToday149
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 86

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b807d1685e17003564241782284413
title_6a3b807d1689616764078011782284413
title_6a3b807d168e3616816671782284413

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b807d2b1fa18975101521782284413
title_6a3b807d2b27018503780651782284413
title_6a3b807d2b2db19821938111782284413 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com