Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي عُمارة الْبراءِ بنِ عازبٍ رضي اللَّه عنهما قال : أَمرنا رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم بِسبْعٍ : أَمرنَا بِعِيادة الْمرِيضِ ، وَاتِّبَاعِ الْجنازةِ ، وتَشْمِيتِ الْعاطِس ، وَإِبْرارِ الْمُقْسِمِ ، ونَصْرِ المظْلُومِ ، وَإِجابَةِ الدَّاعِي ، وإِفْشاءِ السَّلامِ . وَنَهانَا عَنْ خواتِيمَ أَوْ تَختُّمٍ بالذَّهبِ ، وَعنْ شُرْبٍ بالفَضَّةِ ، وعَنِ المياثِرِ الحُمْرِ ، وَعَنِ الْقَسِّيِّ ، وَعَنْ لُبْسِ الحَرِيرِ وَالإِسْتَبْرَقِ وَالدِّيبَاجِ .    متفق عليه
وفي روايةٍ : وإِنْشَادِ الضَّالةِ فِي السَّبْعِ الأُولِ


Kutoka kwa Abuu ‘Umaarah Al-Baraa’ bin ’Aazib (Radhi za Allah ziwe juu yao) Amesema: [A metuamuru Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ kutekeleza mambo saba: Ametuamuru kuwazuru wagonjwa, na kufuata jeneza, na kumuombea aliyepiga chafya, na kuamini kiapo, kumnusuru aliyedhulumiwa, kuitikia mwaliko na kutoa na kueneza salamu. Na ametukataza kuvaa pete ya dhahabu, na kunywa kwenye chombo cha fedha, kupanda shogi la hariri nyekundu, na Al-Qasiyy,(ni nguo unayochanganywa hariri na kitani) na kuvaa hariri, na Istabraq (hariri nzito) na dibaji.]  [Imepokewa na Bukhari na Muslim]

Na katika Riwaya nyingine: [Na kusaidia kupata kilichopotea mambo saba yaliyotajwa mwanzo.]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887175
TodayToday308
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 57

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba85cf276f20832661861782294620
title_6a3ba85cf27bf9449281531782294620
title_6a3ba85cf280c13457219401782294620

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba85cf2dd020236342661782294620
title_6a3ba85cf2e1d15343768391782294620
title_6a3ba85cf2e6913500705291782294620 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com