Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي عُمارة الْبراءِ بنِ عازبٍ رضي اللَّه عنهما قال : أَمرنا رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم بِسبْعٍ : أَمرنَا بِعِيادة الْمرِيضِ ، وَاتِّبَاعِ الْجنازةِ ، وتَشْمِيتِ الْعاطِس ، وَإِبْرارِ الْمُقْسِمِ ، ونَصْرِ المظْلُومِ ، وَإِجابَةِ الدَّاعِي ، وإِفْشاءِ السَّلامِ . وَنَهانَا عَنْ خواتِيمَ أَوْ تَختُّمٍ بالذَّهبِ ، وَعنْ شُرْبٍ بالفَضَّةِ ، وعَنِ المياثِرِ الحُمْرِ ، وَعَنِ الْقَسِّيِّ ، وَعَنْ لُبْسِ الحَرِيرِ وَالإِسْتَبْرَقِ وَالدِّيبَاجِ .    متفق عليه
وفي روايةٍ : وإِنْشَادِ الضَّالةِ فِي السَّبْعِ الأُولِ


Kutoka kwa Abuu ‘Umaarah Al-Baraa’ bin ’Aazib (Radhi za Allah ziwe juu yao) Amesema: [A metuamuru Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ kutekeleza mambo saba: Ametuamuru kuwazuru wagonjwa, na kufuata jeneza, na kumuombea aliyepiga chafya, na kuamini kiapo, kumnusuru aliyedhulumiwa, kuitikia mwaliko na kutoa na kueneza salamu. Na ametukataza kuvaa pete ya dhahabu, na kunywa kwenye chombo cha fedha, kupanda shogi la hariri nyekundu, na Al-Qasiyy,(ni nguo unayochanganywa hariri na kitani) na kuvaa hariri, na Istabraq (hariri nzito) na dibaji.]  [Imepokewa na Bukhari na Muslim]

Na katika Riwaya nyingine: [Na kusaidia kupata kilichopotea mambo saba yaliyotajwa mwanzo.]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031731
TodayToday814
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 126

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d82b04757f2079178831787658928
title_6a8d82b0475d114634022261787658928
title_6a8d82b04761f1555459691787658928

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d82b047de28989873841787658928
title_6a8d82b047e314192716761787658928
title_6a8d82b047e7e12766392051787658928 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com