Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي هُريرةَ رضي اللَّه عنه ، أَنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « إِذا صلى أَحدُكُمْ للنَّاسِ فلْيُخَفِّفْ ، فَإِنَّ فِيهِمْ الضَّعِيفَ وَالسقيمَ والْكَبِيرَ . وإِذَا صَلَّى أَحَدُكُمْ لِنَفْسِهِ فَلْيطَوِّل ما شَاءَ »     متفقٌ عليه 
«وفي روايةٍ : « وذَا الْحاجَةِ


Kutoka kwa Abuu Hurayra (Radhi za Allah ziwe juu yake) kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu amesema: [Anaposwalisha watu mmoja wenu basi akhafifishe, kwani miongoni mwao kuna Dhaifu, wagonjwa na wazee. Na anaposwali mmoja wenu peke yake, basi arefushe anavyotaka.]     [Imepokewa na Bukhaari na Muslim]

Na katika riwayah yengine: [Na wenye haja.]    


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6572873
TodayToday940
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 32

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68286ab6bd90c5023985941747479222
title_68286ab6d3c8e4684048571747479222
title_68286ab6d3dd69989410721747479222

NISHATI ZA OFISI

title_68286ab6d5d4019132424981747479222
title_68286ab6d5e2810460363611747479222
title_68286ab6d5f0a7538644581747479222 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com