Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي هُريرةَ رضي اللَّه عنه ، أَنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « إِذا صلى أَحدُكُمْ للنَّاسِ فلْيُخَفِّفْ ، فَإِنَّ فِيهِمْ الضَّعِيفَ وَالسقيمَ والْكَبِيرَ . وإِذَا صَلَّى أَحَدُكُمْ لِنَفْسِهِ فَلْيطَوِّل ما شَاءَ »     متفقٌ عليه 
«وفي روايةٍ : « وذَا الْحاجَةِ


Kutoka kwa Abuu Hurayra (Radhi za Allah ziwe juu yake) kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu amesema: [Anaposwalisha watu mmoja wenu basi akhafifishe, kwani miongoni mwao kuna Dhaifu, wagonjwa na wazee. Na anaposwali mmoja wenu peke yake, basi arefushe anavyotaka.]     [Imepokewa na Bukhaari na Muslim]

Na katika riwayah yengine: [Na wenye haja.]    


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031804
TodayToday887
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 90

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d8c469156f18274139311787661382
title_6a8d8c46915bf6376448551787661382
title_6a8d8c469160c5052530951787661382

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d8c4691bcc18305845241787661382
title_6a8d8c4691c023438618731787661382
title_6a8d8c4691c4d19616080521787661382 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com