Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي هُريرةَ رضي اللَّه عنه ، أَنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « إِذا صلى أَحدُكُمْ للنَّاسِ فلْيُخَفِّفْ ، فَإِنَّ فِيهِمْ الضَّعِيفَ وَالسقيمَ والْكَبِيرَ . وإِذَا صَلَّى أَحَدُكُمْ لِنَفْسِهِ فَلْيطَوِّل ما شَاءَ »     متفقٌ عليه 
«وفي روايةٍ : « وذَا الْحاجَةِ


Kutoka kwa Abuu Hurayra (Radhi za Allah ziwe juu yake) kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu amesema: [Anaposwalisha watu mmoja wenu basi akhafifishe, kwani miongoni mwao kuna Dhaifu, wagonjwa na wazee. Na anaposwali mmoja wenu peke yake, basi arefushe anavyotaka.]     [Imepokewa na Bukhaari na Muslim]

Na katika riwayah yengine: [Na wenye haja.]    


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887170
TodayToday303
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 63

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba7f12949a9913219271782294513
title_6a3ba7f1294ea2309881571782294513
title_6a3ba7f1295361913175491782294513

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba7f129abc6440482761782294513
title_6a3ba7f129b096920275441782294513
title_6a3ba7f129b5417730513451782294513 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com