Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي هُريرةَ رضي اللَّه عنه ، أَنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « إِذا صلى أَحدُكُمْ للنَّاسِ فلْيُخَفِّفْ ، فَإِنَّ فِيهِمْ الضَّعِيفَ وَالسقيمَ والْكَبِيرَ . وإِذَا صَلَّى أَحَدُكُمْ لِنَفْسِهِ فَلْيطَوِّل ما شَاءَ »     متفقٌ عليه 
«وفي روايةٍ : « وذَا الْحاجَةِ


Kutoka kwa Abuu Hurayra (Radhi za Allah ziwe juu yake) kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu amesema: [Anaposwalisha watu mmoja wenu basi akhafifishe, kwani miongoni mwao kuna Dhaifu, wagonjwa na wazee. Na anaposwali mmoja wenu peke yake, basi arefushe anavyotaka.]     [Imepokewa na Bukhaari na Muslim]

Na katika riwayah yengine: [Na wenye haja.]    


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887016
TodayToday149
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 79

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b806a2fa696596461781782284394
title_6a3b806a2fab81273452071782284394
title_6a3b806a2faee8427187991782284394

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b806a3006420324597001782284394
title_6a3b806a300af6187034051782284394
title_6a3b806a300fc740602091782284394 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com