Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


{قال تعالى : {وَمَن يُعَظِّمْ حُرُمَاتِ اللَّهِ فَهُوَ خَيْرٌ لَّهُ عِندَ رَبِّهِ

{قال تعالى : {ذَٰلِكَ وَمَن يُعَظِّمْ شَعَائِرَ اللَّهِ فَإِنَّهَا مِن تَقْوَى الْقُلُوبِ

{قال تعالى : {وَاخْفِضْ جَنَاحَكَ لِلْمُؤْمِنِينَ

{قال تعالى : {مَن قَتَلَ نَفْسًا بِغَيْرِ نَفْسٍ أَوْ فَسَادٍ فِي الْأَرْضِ فَكَأَنَّمَا قَتَلَ النَّاسَ جَمِيعًا وَمَنْ أَحْيَاهَا فَكَأَنَّمَا أَحْيَا النَّاسَ جَمِيعًا


Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na anayevituza vitu vitakatifu vya Mwenyezi Mungu basi (kufanya) hivyo ni kheri yakw mwenyewe mbele ya mola wake]       [Suuratul Hajj:30]

Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na anayetukuza ibada za Mwenyezi Mungu, basi hayo ni katika unyenyekevu wa nyoyo ]       [Suratul Hajj:32]

Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na wainamishie bawa lako (la huruma) Waumini.]       [Suuratul Hijr:88]

Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote.]       [Suurat Al-Maida:32]


شرح مقدمة الباب مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668231
TodayToday7994
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 334

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f52379211842837971777434450
title_69f17f523798e17162568331777434450
title_69f17f524dcc718285905561777434450

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f524ed6316090413271777434450
title_69f17f524edca9759095861777434450
title_69f17f524ee2c18250450671777434450 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com