Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي موسى رضي اللَّه عنه قال : قال رسول اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « مَن مَرَّ فِي شَيْءٍ مِنْ مَسَاجِدِنَا ، أَوْ أَسْوَاقِنَا، ومَعَه نَبْلٌ فَلْيُمْسِكْ ، أَوْ لِيَقْبِضْ عَلَى نِصالِهَا بِكفِّهِ أَنْ يُصِيب أَحَداً مِنَ الْمُسْلِمِينَ مِنْهَا بِشَيْءٍ »    متفق عليه


Kutoka kwa Abuu Musa (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu amesema: [Anayepita katika sehemu ya Misikiti wetu, au masokoni mwetu, na ilhali ana mshale, basi auzuwie au akishike chemba chake kwa mkono wake, asije akamdunga nao yeyote katika Waislamu.]       [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887016
TodayToday149
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 86

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b807a46f2910962028391782284410
title_6a3b807a46f7820037883801782284410
title_6a3b807a46fc47523251681782284410

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b807a4756e3693016841782284410
title_6a3b807a475bb18993055071782284410
title_6a3b807a475d719810159531782284410 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com