Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي هريرة رضي اللَّه عنه ، أَن رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : «أَتَدْرُون من الْمُفْلِسُ ؟» قالُوا : الْمُفْلسُ فِينَا مَنْ لا دِرْهَمَ لَهُ وَلا مَتَاعَ . فقال : « إِنَّ الْمُفْلِسَ مِنْ أُمَّتِي مَنْ يَأْتِي يَوْمَ الْقيامةِ بِصَلاةٍ وَصِيَامٍ وزَكَاةٍ ، ويأْتِي وقَدْ شَتَمَ هذا ، وقذَف هذَا وَأَكَلَ مالَ هَذَا، وسفَكَ دَم هذَا ، وَضَرَبَ هذا ، فيُعْطَى هذَا مِنْ حسَنَاتِهِ ، وهَذا مِن حسَنَاتِهِ ، فَإِنْ فَنِيَتْ حسناته قَبْلَ أَنْ يقْضِيَ مَا عَلَيْهِ ، أُخِذَ مِنْ خَطَايَاهُمْ فَطُرحَتْ علَيْه ، ثُمَّ طُرِح في النَّارِ»    رواه مسلم


Kutoka kwa Abuu Hurayrah Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amesema: [Je, mnamjua Muflis?]  (Maswahaba) Wakasema: Muflis kwetu sisi ni yule asiyekuwa na dirham wala mali. Akasema: [Hakika Muflis katika Umma wangu ni yule atakayekuja Siku ya Qiyama akiwa ana Swala, Saum, na Zakaa. Na anakuja akiwa amemtusi huyu, na amemsingizia uzinifu huyu, amekula mali ya huyu, amemwaga damu ya huyu na kumpiga huyu. Kila mmoja (katkika waliodhulumia) atapewa sehemu ya mema yake, na yule atapewa sehemu ya mema yake. Mema yake yatakapomalizika kabla ya kulipa anayodaiwa, zitachukuliwa sehemu ya dhambi zao (kulingana na alivyo dhulumu) na apewe yeye, kisha atupwe motoni.]    [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6700520
TodayToday1711
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 26

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68783abbf21683720369211752709819
title_68783abbf22531500464371752709819
title_68783abbf233720619896381752709819

NISHATI ZA OFISI

title_68783abbf396319901793221752709819
title_68783abbf3a4a16890898041752709819
title_68783abbf3b3415804004801752709819 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 10 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com