Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي هريرة رضي اللَّه عنه ، أَن رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : «أَتَدْرُون من الْمُفْلِسُ ؟» قالُوا : الْمُفْلسُ فِينَا مَنْ لا دِرْهَمَ لَهُ وَلا مَتَاعَ . فقال : « إِنَّ الْمُفْلِسَ مِنْ أُمَّتِي مَنْ يَأْتِي يَوْمَ الْقيامةِ بِصَلاةٍ وَصِيَامٍ وزَكَاةٍ ، ويأْتِي وقَدْ شَتَمَ هذا ، وقذَف هذَا وَأَكَلَ مالَ هَذَا، وسفَكَ دَم هذَا ، وَضَرَبَ هذا ، فيُعْطَى هذَا مِنْ حسَنَاتِهِ ، وهَذا مِن حسَنَاتِهِ ، فَإِنْ فَنِيَتْ حسناته قَبْلَ أَنْ يقْضِيَ مَا عَلَيْهِ ، أُخِذَ مِنْ خَطَايَاهُمْ فَطُرحَتْ علَيْه ، ثُمَّ طُرِح في النَّارِ»    رواه مسلم


Kutoka kwa Abuu Hurayrah Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amesema: [Je, mnamjua Muflis?]  (Maswahaba) Wakasema: Muflis kwetu sisi ni yule asiyekuwa na dirham wala mali. Akasema: [Hakika Muflis katika Umma wangu ni yule atakayekuja Siku ya Qiyama akiwa ana Swala, Saum, na Zakaa. Na anakuja akiwa amemtusi huyu, na amemsingizia uzinifu huyu, amekula mali ya huyu, amemwaga damu ya huyu na kumpiga huyu. Kila mmoja (katkika waliodhulumia) atapewa sehemu ya mema yake, na yule atapewa sehemu ya mema yake. Mema yake yatakapomalizika kabla ya kulipa anayodaiwa, zitachukuliwa sehemu ya dhambi zao (kulingana na alivyo dhulumu) na apewe yeye, kisha atupwe motoni.]    [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887019
TodayToday152
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 47

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b81090b5f612315986501782284553
title_6a3b81090b646100485721782284553
title_6a3b81090b6923032400471782284553

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b81090bc166237642401782284553
title_6a3b81090bc6210580688431782284553
title_6a3b81090bcac7377970971782284553 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com