Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي هريرة رضي اللَّه عنه ، أَن رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : «أَتَدْرُون من الْمُفْلِسُ ؟» قالُوا : الْمُفْلسُ فِينَا مَنْ لا دِرْهَمَ لَهُ وَلا مَتَاعَ . فقال : « إِنَّ الْمُفْلِسَ مِنْ أُمَّتِي مَنْ يَأْتِي يَوْمَ الْقيامةِ بِصَلاةٍ وَصِيَامٍ وزَكَاةٍ ، ويأْتِي وقَدْ شَتَمَ هذا ، وقذَف هذَا وَأَكَلَ مالَ هَذَا، وسفَكَ دَم هذَا ، وَضَرَبَ هذا ، فيُعْطَى هذَا مِنْ حسَنَاتِهِ ، وهَذا مِن حسَنَاتِهِ ، فَإِنْ فَنِيَتْ حسناته قَبْلَ أَنْ يقْضِيَ مَا عَلَيْهِ ، أُخِذَ مِنْ خَطَايَاهُمْ فَطُرحَتْ علَيْه ، ثُمَّ طُرِح في النَّارِ»    رواه مسلم


Kutoka kwa Abuu Hurayrah Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ amesema: [Je, mnamjua Muflis?]  (Maswahaba) Wakasema: Muflis kwetu sisi ni yule asiyekuwa na dirham wala mali. Akasema: [Hakika Muflis katika Umma wangu ni yule atakayekuja Siku ya Qiyama akiwa ana Swala, Saum, na Zakaa. Na anakuja akiwa amemtusi huyu, na amemsingizia uzinifu huyu, amekula mali ya huyu, amemwaga damu ya huyu na kumpiga huyu. Kila mmoja (katkika waliodhulumia) atapewa sehemu ya mema yake, na yule atapewa sehemu ya mema yake. Mema yake yatakapomalizika kabla ya kulipa anayodaiwa, zitachukuliwa sehemu ya dhambi zao (kulingana na alivyo dhulumu) na apewe yeye, kisha atupwe motoni.]    [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031687
TodayToday770
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 119

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d79fef1b2e19701345351787656702
title_6a8d79fef1ba810740963061787656702
title_6a8d79fef1c228965466221787656702

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d79fef269115387185011787656702
title_6a8d79fef26e5278874221787656702
title_6a8d79fef273920511505441787656702 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com