Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عَنْ حذيفةَ رضي اللَّه عنه أَنَّ النبي صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « والَّذِي نَفْسِي بِيَدِهِ لَتَأْمُرُنَّ بالْمعرُوفِ ، ولَتَنْهَوُنَّ عَنِ المُنْكَرِ ، أَوْ لَيُوشِكَنَّ اللَّه أَنْ يَبْعثَ عَلَيْكمْ عِقَاباً مِنْهُ ، ثُمَّ تَدْعُونَهُ فَلاَ يُسْتَجابُ لَكُمْ »   رواه الترمذي وقال : حديثٌ حسنٌ


Kutoka kwa  Hudhayfah Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba: Mtume amesema: [Naapa kwa yule ambaye nafsi yangu ipo mikononi Mwake, mtaendelea kuamrisha mema na kukataza maovu au kama si hivyo basi Mwenyezi Mungu Atawateremshia adhabu kutoka kwake, kisha mtamuomba na yeye asiwaitikie (du’aa zenu).]    [Imepokewa na At-Tirmidhiy]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668233
TodayToday7996
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 317

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f5f7fb0c20220917421777434463
title_69f17f5f7fb6e11555045661777434463
title_69f17f5f7fbc913360472301777434463

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f5f8063612326403291777434463
title_69f17f5f8069614691324641777434463
title_69f17f5f806f24326067711777434463 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com