Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عَنْ حذيفةَ رضي اللَّه عنه أَنَّ النبي صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : « والَّذِي نَفْسِي بِيَدِهِ لَتَأْمُرُنَّ بالْمعرُوفِ ، ولَتَنْهَوُنَّ عَنِ المُنْكَرِ ، أَوْ لَيُوشِكَنَّ اللَّه أَنْ يَبْعثَ عَلَيْكمْ عِقَاباً مِنْهُ ، ثُمَّ تَدْعُونَهُ فَلاَ يُسْتَجابُ لَكُمْ »   رواه الترمذي وقال : حديثٌ حسنٌ


Kutoka kwa  Hudhayfah Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba: Mtume amesema: [Naapa kwa yule ambaye nafsi yangu ipo mikononi Mwake, mtaendelea kuamrisha mema na kukataza maovu au kama si hivyo basi Mwenyezi Mungu Atawateremshia adhabu kutoka kwake, kisha mtamuomba na yeye asiwaitikie (du’aa zenu).]    [Imepokewa na At-Tirmidhiy]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887016
TodayToday149
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 76

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b809706515327587001782284439
title_6a3b80970656319356204221782284439
title_6a3b8097065ad12611491361782284439

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b809706b0921151934861782284439
title_6a3b809706b562368467621782284439
title_6a3b809706ba16528318961782284439 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com