Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عَنْ أَبِي سعيدٍ الْحسنِ البصْرِي أَنَّ عَائِذَ بن عمْروٍ رضي اللَّه عنه دخَلَ عَلَى عُبَيْدِ اللَّهِ بن زيَادٍ فَقَالَ : أَيْ بن زيَادٍ فَقَالَ : أَيْ بنيَّ ، إِنِّي سمِعتُ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يَقولُ : « إِنَّ شَرَّ الرِّعاءِ الْحُطَمَةُ » فَإِيَّاكَ أَنْ تَكُونَ مِنْهُمْ . فَقَالَ لَهُ : اجْلِسْ فَإِنَّمَا أَنت مِنْ نُخَالَةِ أَصْحَابِ مُحَمَّدٍ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم ، فقال : وهَلْ كَانَتْ لَهُمْ نُخَالَةٌ إِنَّمَا كَانَتِ النُّخالَةُ بَعْدَهُمْ وَفي غَيرِهِمْ ،    رواه مسلم


Kutoka kwa Abu Sa’iid Al-Hasan Al-Baswariy ya kwamba: ‘Aa’idh bin ‘Amru Radhi za Allah ziwe juu yake alimtembelea Ubaydullaah bin Ziyaad (Alikuwa ni Gavana wa Yaziid katika nchi ya Iraq) kumwambia: Ewe mtoto wangu! hakika nimesikia Mtume ﷺ akisema: [Hakika mchungaji mbaya kabisa ni wenye moyo mgumu] (anaedhulumu watu). Basi nakutahadharisha usiwe miongoni mwao.” (Abdullah bin Zayd) akamwambia Keti kwani wewe ni miongoni mwa baki ya Maswahaba wa Muhammad . (yaani si mtu wa Maana) Akasema: (‘Aa’idh) na je, yeye alikuwa na mabaki? hakika mabaki ni waliokuja baada yao na wengineo.  [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6668262
TodayToday950
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 14

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866ce8bd53255464838491751568011
title_6866ce8bd541513564603311751568011
title_6866ce8bd54f419966364161751568011

NISHATI ZA OFISI

title_6866ce8bd6ac015719263111751568011
title_6866ce8bd6baf6511022621751568011
title_6866ce8bd6c8e3356643871751568011 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com