Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عَنْ عدِيِّ بنِ حاتِمٍ رضي اللَّه عنه قال : سمِعْتُ النَّبِيَّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يقول : « اتَّقُوا النار وَلوْ بِشقِّ تَمْرةٍ »   متفقٌ عليه
وفي رواية لهما عنه قال : قال رسول اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « مَا مِنْكُمْ مِنْ أَحَدٍ إِلاَّ سيُكَلِّمُه ربُّه لَيْس بَيْنَهُ وبََينَهُ تَرْجُمَان ، فَينْظُرَ أَيْمنَ مِنْهُ فَلا يَرى إِلاَّ مَا قَدَّم ، وينْظُر أشأمَ مِنْهُ فلا يَرَى إلاَّ ما قَدَّمَ ، وَينْظُر بَيْنَ يدَيْهِ فَلا يَرى إلاَّ النَّارَ تِلْقَاءَ وَجْهِهِ ، فاتَّقُوا النَّارَ ولوْ بِشِقِّ تَمْرةٍ، فَمَنْ لَمْ يَجدْ فَبِكَلِمَة طيِّبَةٍ


Kutoka kwa Abuu ‘Adiyy bin Haatim Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Nilimsikia Mtume ﷺ akisema: [Jikingeni na moto japo kwa kutoa kipande cha tende.]   [Imepokewa na Bukhari na Muslim]

Na katika Riwaya nyingine ya Bukhari na Muslim kutoka kwake (‘Adiyy) amesema: Mtume : [Kila mmoja wenu atazungumza na Mola wake wala hakuna mtarjumani baina yake na Mola wake. Atatazama kuliani mwake, hataona ila alichotenda, atatazama kushotoni mwake, hataona ila alichotenda, atatazama mbele yake, hataona ila Moto mbele yake. Basi ogopeni Moto japo kwa kutoa kipande cha tende. Asiepata, azungumze neno jema.] 


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887019
TodayToday152
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 46

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b810cc0a9b10016604211782284556
title_6a3b810cd5f2e20853884121782284556
title_6a3b810cd603914551501551782284556

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b810cd6ba112874272381782284556
title_6a3b810cd6bee15294083071782284556
title_6a3b810cd6c3914049986601782284556 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com