Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عنْ أَبِي محمدٍ عبدِ اللَّهِ بنِ عمرو بن العاص رضي اللَّه عنهما قال : قال رسول اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « أَرْبعُونَ خَصْلةً أَعلاها منِيحةُ الْعَنْزِ، ما مِنْ عامَلٍ يعملَ بِخَصْلَةٍ مِنْها رجاءَ ثَوَابِهَا وتَصْدِيقَ موْعُودِهَا إِلاَّ أَدْخلَهُ اللَّهُ بِهَا الْجنَّةَ »   رواه البخارى
 الْمنِيحةُ » : أَنْ يُعْطِيَهُ إِيَّاهَا ليأْكُل لبنَهَا ثُمَّ يَردَّهَا إِليْهِ»


Kutoka kwa Abuu Muhammad, ‘Abdullaah bin ‘Amruw bin ‘Aasw Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Mtume  ﷺ : [Kuna mambo arubaini ya wema, la juu kabisa ni mtu akopeshe mbuzi wake. Hakuna yeyote atakayetenda mojawapo katika hayo kwa kutarajia thawabu zake na kusadikisha miadi yake, isipokuwa Mwenyezi Mungu Atamuingiza Peponi.]     [Imepokewa na Bukhari]    

Maniha: Ni mtu kupeana mbuzi wako ili apate kunywa maziwa yake kisha amrudishie mwenyewe.


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668232
TodayToday7995
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 331

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f57804dd10268993121777434455
title_69f17f578052e17817275471777434455
title_69f17f578054f3821879291777434455

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f5780b6215767701231777434455
title_69f17f5780bb015813211221777434455
title_69f17f5780bfc17861513511777434455 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com