Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عنْ أَبِي محمدٍ عبدِ اللَّهِ بنِ عمرو بن العاص رضي اللَّه عنهما قال : قال رسول اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « أَرْبعُونَ خَصْلةً أَعلاها منِيحةُ الْعَنْزِ، ما مِنْ عامَلٍ يعملَ بِخَصْلَةٍ مِنْها رجاءَ ثَوَابِهَا وتَصْدِيقَ موْعُودِهَا إِلاَّ أَدْخلَهُ اللَّهُ بِهَا الْجنَّةَ »   رواه البخارى
 الْمنِيحةُ » : أَنْ يُعْطِيَهُ إِيَّاهَا ليأْكُل لبنَهَا ثُمَّ يَردَّهَا إِليْهِ»


Kutoka kwa Abuu Muhammad, ‘Abdullaah bin ‘Amruw bin ‘Aasw Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Mtume  ﷺ : [Kuna mambo arubaini ya wema, la juu kabisa ni mtu akopeshe mbuzi wake. Hakuna yeyote atakayetenda mojawapo katika hayo kwa kutarajia thawabu zake na kusadikisha miadi yake, isipokuwa Mwenyezi Mungu Atamuingiza Peponi.]     [Imepokewa na Bukhari]    

Maniha: Ni mtu kupeana mbuzi wako ili apate kunywa maziwa yake kisha amrudishie mwenyewe.


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6573093
TodayToday1160
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 24

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682875543552917977293671747481940
title_682875543564618697024641747481940
title_682875543575c19962741111747481940

NISHATI ZA OFISI

title_682875544287220935934171747481940
title_68287554429f810253870511747481940
title_6828755442b7213436223311747481940 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com