Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أَبِي ذرٍّ جُنْدَبِ بنِ جُنَادَةَ رضي اللَّه عنه قال : قلت يا رسولَ اللَّه، أيُّ الأعْمالِ أفْضَلُ ؟ قال : « الإِيمانُ بِاللَّهِ ، وَالجِهَادُ فِي سَبِيلِهِ » . قُلْتُ : أيُّ الرِّقَابِ أفْضَلُ ؟ قال : « أنْفَسُهَا عِنْد أهْلِهَا ، وأكثَرُهَا ثَمَناً » . قُلْتُ : فَإِنْ لَمْ أفْعلْ ؟ قال : « تُعينُ صَانِعاً أوْ تَصْنَعُ لأخْرَقَ » قُلْتُ : يا رسول اللَّه أرَأيتَ إنْ ضَعُفْتُ عَنْ بَعْضِ الْعملِ ؟ قال : « تَكُفُّ شَرَّكَ عَن النَّاسِ فَإِنَّها صدقةٌ مِنْكَ على نَفسِكَ »متفقٌ عليه


Kutoka  Abuu Dharr, Jundub bin Junaadah Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Nilimuuliza Mtume ﷺ : [Ni ‘amali gani bora zaidi?  Akajibu: [Ni kumuamini Mwenyezi Mungu na kupigana Jihaad katika njia Yake.]  Nikamuuliza: Ni mtumwa gani bora zaidi wakumuachu huru ? Akasema: [Ni yule aliye mbora na mzuri kwa watu wake na mwenye thamani kubwa.] Nikamuuliza: Nisipoweza? Akajibu: [Umsaidie mwenye kuhitaji au umsaidie kazi yule ambaye hana ujuzi nayo.]  Nikamuuliza: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, waonaje ni kidhofika nisiweze kufanya baadhi ya Matendo? Akajibu: [Utaizuia shari yako isiwafikie watu; kufanya hivyo ni sadaka juu ya nafsi yako.]    [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031687
TodayToday770
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 119

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d7a067930413195311691787656710
title_6a8d7a067936420772765151787656710
title_6a8d7a06793c03892053861787656710

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d7a0679a5a7079796611787656710
title_6a8d7a0679aa88046994471787656710
title_6a8d7a0679af415227483761787656710 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com