Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أَبِي ذرٍّ رضي اللَّه عنه أيضاً أنَّ رسُولَ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : «يُصْبِحُ على كلِّ سُلاَمَى مِنْ أَحَدِكُمْ صدقَةٌ ، فَكُلٌ تَسبِيْحةٍ صَدقةٌ ، وكُلُّ تحْمِيدَةٍ صدقَةٌ ، وكُلُّ تهْلِيلَةٍ صَدَقةٌ ، وكلُّ تَكْبِيرةٍ صَدَقَةٌ ، وأمْرٌ بالمعْرُوفِ صدقَةٌ ، ونَهْيٌ عَنِ المُنْكَرِ صدقَةٌ . ويُجْزِئُ مِنْ ذَلكَ رَكعَتَانِ يرْكَعُهُما مِنَ الضُّحى »    رواه مسلم


Kutoka kwa  Abuu Dharr, Jundub bin Junaadah Radhi za Allah ziwe juu kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu  amesema: [Hupambaukiwa kila kiungo cha mmoja wenu kulazimika kutoa sadaka. Kila Tasbihi (kusema Subhaana Allaah) ni sadaka, na kila Tahmidi (kusema AlhamduliLLaah) ni sadaka, na kila Tahlili (kusema Laa ilaaha illa-Allaah) ni sadaka, na kila Takbiri (kusema Allaahu Akbar) ni sadaka. Kuamrisha mema ni sadaka na kukataza maovu ni sadaka. Yote haya hutosheleza na rakaa mbili za Dhuhaa mtu anapoziswali.]      [Imepokewa na Muslim]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887016
TodayToday149
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 77

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b80904bc246995905911782284432
title_6a3b80904bc759808752981782284432
title_6a3b80904bcc1877226791782284432

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b80904c24a6940711281782284432
title_6a3b80904c2965255315221782284432
title_6a3b80904c2e120663054851782284432 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com