Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أَبِي ذرٍّ رضي اللَّه عنه أيضاً أنَّ رسُولَ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قال : «يُصْبِحُ على كلِّ سُلاَمَى مِنْ أَحَدِكُمْ صدقَةٌ ، فَكُلٌ تَسبِيْحةٍ صَدقةٌ ، وكُلُّ تحْمِيدَةٍ صدقَةٌ ، وكُلُّ تهْلِيلَةٍ صَدَقةٌ ، وكلُّ تَكْبِيرةٍ صَدَقَةٌ ، وأمْرٌ بالمعْرُوفِ صدقَةٌ ، ونَهْيٌ عَنِ المُنْكَرِ صدقَةٌ . ويُجْزِئُ مِنْ ذَلكَ رَكعَتَانِ يرْكَعُهُما مِنَ الضُّحى »    رواه مسلم


Kutoka kwa  Abuu Dharr, Jundub bin Junaadah Radhi za Allah ziwe juu kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu  amesema: [Hupambaukiwa kila kiungo cha mmoja wenu kulazimika kutoa sadaka. Kila Tasbihi (kusema Subhaana Allaah) ni sadaka, na kila Tahmidi (kusema AlhamduliLLaah) ni sadaka, na kila Tahlili (kusema Laa ilaaha illa-Allaah) ni sadaka, na kila Takbiri (kusema Allaahu Akbar) ni sadaka. Kuamrisha mema ni sadaka na kukataza maovu ni sadaka. Yote haya hutosheleza na rakaa mbili za Dhuhaa mtu anapoziswali.]      [Imepokewa na Muslim]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887176
TodayToday309
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 65

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba89aaa3184953378651782294682
title_6a3ba89aaa36919969227261782294682
title_6a3ba89aaa3b619911890541782294682

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba89abffab20341252401782294682
title_6a3ba89abfffc10516077281782294682
title_6a3ba89ac004819088818441782294682 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com