Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


   قال اللَّه تعالى : {وَالَّذِينَ جَاهَدُوا فِينَا لَنَهْدِيَنَّهُمْ سُبُلَنَا ۚ وَإِنَّ اللَّهَ لَمَعَ الْمُحْسِنِينَ}       العنكبوت:69

 

Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na wanao fanya juhudi kwa ajili yetu, Sisi tutawaongoa kwenye njia zetu. Na hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na watu wema]     [Suurat Al A'nkabut:29]

 

99:وقال تعالى :{وَاعْبُدْ رَبَّكَ حَتَّىٰ يَأْتِيَكَ الْيَقِينُ}   الحجر

 

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na muabudu Mola wako Mlezi mpaka ikufikie Yakini.]      [Suuratul Hijr:99]

 

8:وقال تعالى :{وَاذْكُرِ اسْمَ رَبِّكَ وَتَبَتَّلْ إِلَيْهِ تَبْتِيلًا}   المزمل

 

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na lidhukuru jina la Mola wako Mlezi, na ujitolee kwake kwa ukamilifu.]       [Surat Al-Muzzammil:8]

 

20:وقال تعالى :{وَمَا تُقَدِّمُوا لِأَنفُسِكُم مِّنْ خَيْرٍ تَجِدُوهُ عِندَ اللَّهِ هُوَ خَيْرًا وَأَعْظَمَ أَجْرًا ۚ }   المزمل

 

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na kheri yoyote mnayo itanguliza kwa ajili ya nafsi zenu mtaikuta kwa Mwenyezi Mungu, imekuwa bora zaidi, na ina thawabu kubwa sana.]      [Surat Al-Muzzammil:20]

 

215:وقال تعالى :{وَمَا تَفْعَلُوا مِنْ خَيْرٍ فَإِنَّ اللَّهَ بِهِ عَلِيمٌ}   البقرة

 

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na kheri yoyote mnayo ifanya Mwenyezi Mungu anaijua.]       [Sura Al-Baqara:215]

 

والآيات في الباب كثيرة معلومة

Na aya katika Mlango huu ni nyingi zajulikana.


 شرح مقدمة الباب مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى




 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6668216
TodayToday904
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 28

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866c3ba3e4368108646021751565242
title_6866c3ba3e5191005288951751565242
title_6866c3ba3e5fe17506873571751565242

NISHATI ZA OFISI

title_6866c3ba3fb8c5599417081751565242
title_6866c3ba3fc674604115651751565242
title_6866c3ba3fd2d17614835831751565242 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com