Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


   قال اللَّه تعالى : {وَالَّذِينَ جَاهَدُوا فِينَا لَنَهْدِيَنَّهُمْ سُبُلَنَا ۚ وَإِنَّ اللَّهَ لَمَعَ الْمُحْسِنِينَ}       العنكبوت:69

 

Amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na wanao fanya juhudi kwa ajili yetu, Sisi tutawaongoa kwenye njia zetu. Na hakika Mwenyezi Mungu yu pamoja na watu wema]     [Suurat Al A'nkabut:29]

 

99:وقال تعالى :{وَاعْبُدْ رَبَّكَ حَتَّىٰ يَأْتِيَكَ الْيَقِينُ}   الحجر

 

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na muabudu Mola wako Mlezi mpaka ikufikie Yakini.]      [Suuratul Hijr:99]

 

8:وقال تعالى :{وَاذْكُرِ اسْمَ رَبِّكَ وَتَبَتَّلْ إِلَيْهِ تَبْتِيلًا}   المزمل

 

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na lidhukuru jina la Mola wako Mlezi, na ujitolee kwake kwa ukamilifu.]       [Surat Al-Muzzammil:8]

 

20:وقال تعالى :{وَمَا تُقَدِّمُوا لِأَنفُسِكُم مِّنْ خَيْرٍ تَجِدُوهُ عِندَ اللَّهِ هُوَ خَيْرًا وَأَعْظَمَ أَجْرًا ۚ }   المزمل

 

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na kheri yoyote mnayo itanguliza kwa ajili ya nafsi zenu mtaikuta kwa Mwenyezi Mungu, imekuwa bora zaidi, na ina thawabu kubwa sana.]      [Surat Al-Muzzammil:20]

 

215:وقال تعالى :{وَمَا تَفْعَلُوا مِنْ خَيْرٍ فَإِنَّ اللَّهَ بِهِ عَلِيمٌ}   البقرة

 

Na amesema Mwenyezi Mungu Mtukufu:

[Na kheri yoyote mnayo ifanya Mwenyezi Mungu anaijua.]       [Sura Al-Baqara:215]

 

والآيات في الباب كثيرة معلومة

Na aya katika Mlango huu ni nyingi zajulikana.


 شرح مقدمة الباب مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى




 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887162
TodayToday295
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 49

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba5ed65f9612862607761782293997
title_6a3ba5ed65fe614714331381782293997
title_6a3ba5ed660334578773121782293997

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba5ed665e32487455431782293997
title_6a3ba5ed666315396960581782293997
title_6a3ba5ed6667d6382725501782293997 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com