Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عن أبي هريرة رضي اللَّه عنه. قال قال رسول اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم: «إِنَّ اللَّه تعالى قال: منْ عادى لي وليًّاً. فقدْ آذنتهُ بالْحرْب. وما تقرَّبَ إِلَيَ عبْدِي بِشْيءٍ أَحبَّ إِلَيَ مِمَّا افْتَرَضْت عليْهِ: وما يَزالُ عبدي يتقرَّبُ إِلى بالنَّوافِل حَتَّى أُحِبَّه، فَإِذا أَحبَبْتُه كُنْتُ سمعهُ الَّذي يسْمعُ به، وبَصره الذي يُبصِرُ بِهِ، ويدَهُ التي يَبْطِش بِهَا، ورِجلَهُ التي يمْشِي بها، وَإِنْ سأَلنِي أَعْطيْتَه، ولَئِنِ اسْتَعَاذَنِي لأُعِيذَّنه»   رواه البخاري


Kutoka kwa Abuu Hurayra Radhi za Allah ziwe juu yake amesema:Amesema Mtume ﷺ :Hakika amesema Mwenyezi Mungu Mtukuf : [Mwenye kumfanyia uadui kipenzi Changu, basi Nimeshamtangazia vita. Mja Wangu hajikurubishi Kwangu kwa jambo linalonipendeza mno kulikoni kutenda fardhi nilizomfaradhishia; Mja Wangu hataacha kujikurubisha Kwangu kwa Nawafil (Swala za Sunna) mpaka Nimpende. Nitakapompenda, Nitakuwa ni masikizi yake anayosikilizia, na ni macho yake anayoonea, na ni mkono wake anaoshikia, na ni mguu wake anaotembelea. Akiniomba Nitampa, na akiomba kinga Kwangu Nitamkinga.]     [Imepokewa na Bukhari]


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668631
TodayToday296
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 769

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f18c778055d11637506041777437815
title_69f18c77805bf11663355841777437815
title_69f18c778060d14636892151777437815

NISHATI ZA OFISI

title_69f18c7797a4814318765641777437815
title_69f18c7797aab912895821777437815
title_69f18c7797b0811540097651777437815 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com