Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


عن ابْنِ عَبَّاس رضي اللَّه عنهما أيضاً قال : «حسْبُنَا اللَّهُ ونِعْمَ الْوكِيلُ قَالَهَا إبْراهِيمُ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم حينَ أُلْقِى في النَّارِ ، وَقالهَا مُحمَّدٌ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم حيِنَ قَالُوا: «إِنَّ النَّاسَ قَدْ جَمعُوا لَكُمْ فَاخْشَوْهُمْ فَزَادَهُمْ إيماناً وقَالُوا : حَسْبُنَا اللَّهُ وَنِعْمَ الْوكِيلُ »  رواه البخارى
وفي رواية له عن ابْنِ عَبَّاسٍ رضي اللَّه عنهما قال : « كَانَ آخِرَ قَوْل إبْراهِيمَ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم حِينَ ألْقِي في النَّارِ « حسْبي اللَّهُ وَنِعمَ الْوَكِيلُ


Kutoka kwaAbdullaah bin ‘Abbaas Radhi za Allah ziwe juu yao amesema tena: [Mwenyezi Mungu Anatutosha. Naye ni Mdhamini bora kabisa, neno hili alisema Nabii Ibrahim (‘Alayhis Salaam) alipotumbukizwa Motoni, na alisema Mtume pale watu walipowaambia (Waislaam): [Hakika Maquraysh wamewakusanyikia, kwa hiyo waogopeni. Lakini maneno hayo yaliwazidishia Imani na wakasema: Mwenyezi Mungu Anatutosha Naye ni Mdhamini bora kabisa.]     [Imepokewa na Bukhari]

Na katika Riwaya nyingine; kutoka kwa ‘Abdullaah bin ‘Abbaas Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Neno la mwisho alilolitamka Nabii Ibrahim (‘Alayhis Salaam) wakati alipotumbukizwa kwenye moto ilikuwa ni kusema: [Mwenyezi Mungu Ananitosha, Naye ni Mdhamini bora kabisa.]


 

 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031685
TodayToday768
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 110

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d79c4aa71320395901331787656644
title_6a8d79c4aa77920583715591787656644
title_6a8d79c4aa7d820836064381787656644

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d79c4c12bf770961691787656644
title_6a8d79c4c132214722883141787656644
title_6a8d79c4c138214609726741787656644 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com