Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


عن ابْنِ عَبَّاس رضي اللَّه عنهما أيضاً قال : «حسْبُنَا اللَّهُ ونِعْمَ الْوكِيلُ قَالَهَا إبْراهِيمُ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم حينَ أُلْقِى في النَّارِ ، وَقالهَا مُحمَّدٌ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم حيِنَ قَالُوا: «إِنَّ النَّاسَ قَدْ جَمعُوا لَكُمْ فَاخْشَوْهُمْ فَزَادَهُمْ إيماناً وقَالُوا : حَسْبُنَا اللَّهُ وَنِعْمَ الْوكِيلُ »  رواه البخارى
وفي رواية له عن ابْنِ عَبَّاسٍ رضي اللَّه عنهما قال : « كَانَ آخِرَ قَوْل إبْراهِيمَ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم حِينَ ألْقِي في النَّارِ « حسْبي اللَّهُ وَنِعمَ الْوَكِيلُ


Kutoka kwaAbdullaah bin ‘Abbaas Radhi za Allah ziwe juu yao amesema tena: [Mwenyezi Mungu Anatutosha. Naye ni Mdhamini bora kabisa, neno hili alisema Nabii Ibrahim (‘Alayhis Salaam) alipotumbukizwa Motoni, na alisema Mtume pale watu walipowaambia (Waislaam): [Hakika Maquraysh wamewakusanyikia, kwa hiyo waogopeni. Lakini maneno hayo yaliwazidishia Imani na wakasema: Mwenyezi Mungu Anatutosha Naye ni Mdhamini bora kabisa.]     [Imepokewa na Bukhari]

Na katika Riwaya nyingine; kutoka kwa ‘Abdullaah bin ‘Abbaas Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Neno la mwisho alilolitamka Nabii Ibrahim (‘Alayhis Salaam) wakati alipotumbukizwa kwenye moto ilikuwa ni kusema: [Mwenyezi Mungu Ananitosha, Naye ni Mdhamini bora kabisa.]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668222
TodayToday7985
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 337

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f2b4e1ad20612726681777434411
title_69f17f2b4e21a12307165601777434411
title_69f17f2b4e27d687951901777434411

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f2b4f1645701316391777434411
title_69f17f2b4f1c818042671061777434411
title_69f17f2b4f22517669679991777434411 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com