Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وعن ابْن مسْعُود رضي اللَّه عنه قَالَ : دَخلْتُ عَلى النَبيِّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم وَهُو يُوعَكُ فَقُلْتُ يا رسُولَ اللَّه إِنَّكَ تُوعكُ وَعْكاً شَدِيداً قال : « أَجَلْ إِنِّي أُوعَكُ كَمَا يُوعَكُ رَجُلانِ مِنْكُم» قُلْتُ : ذلك أَنَّ لَكَ أَجْريْن ؟ قال : « أَجَلْ ذَلك كَذَلك مَا مِنْ مُسْلِمٍ يُصِيبُهُ أَذًى ، شوْكَةٌ فَمَا فوْقَهَا إلاَّ كَفَّر اللَّه بهَا سيئاته ، وَحطَّتْ عنْهُ ذُنُوبُهُ كَمَا تَحُطُّ الشَّجرةُ وَرقَهَا »    متفقٌ عليه
وَ « الْوَعْكُ » : مَغْثُ الحمَّى ، وقيل : الْحُمى


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Abdullaah bin Mas’uwd Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: “Nilingia kwa  Mtume  naye akiwa ana umwa. Nikamwambia: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, hakika wewe unaumwa sana ” Akasema: “Ndiyo, hakika mimi huwa na umwa kama vile watu wawili wanavyoumwa kati yenu.” Nikamuuliza: “Ni kwa vile una ujira mara mbili?” Akasema: [Ndiyo, ni hivyo. Hakuna Muislaamu yoyote anasibiwa na udhia (kuanzia) mwiba na zaidi ya mwiba, isipokuwa Mwneyezi Mungu humsamehe mabaya yake kwa udhia huo, na dhambi zake hupuputishwa kama vile mti unavyopuputika majani yake.]    [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887165
TodayToday298
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 47

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba6b06f18d4425155641782294192
title_6a3ba6b06f1dc18353008911782294192
title_6a3ba6b06f229895576091782294192

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba6b06f7e26031416641782294192
title_6a3ba6b06f8307990307801782294192
title_6a3ba6b06f87c15675014461782294192 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com