Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وعن ابْن مسْعُود رضي اللَّه عنه قَالَ : دَخلْتُ عَلى النَبيِّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم وَهُو يُوعَكُ فَقُلْتُ يا رسُولَ اللَّه إِنَّكَ تُوعكُ وَعْكاً شَدِيداً قال : « أَجَلْ إِنِّي أُوعَكُ كَمَا يُوعَكُ رَجُلانِ مِنْكُم» قُلْتُ : ذلك أَنَّ لَكَ أَجْريْن ؟ قال : « أَجَلْ ذَلك كَذَلك مَا مِنْ مُسْلِمٍ يُصِيبُهُ أَذًى ، شوْكَةٌ فَمَا فوْقَهَا إلاَّ كَفَّر اللَّه بهَا سيئاته ، وَحطَّتْ عنْهُ ذُنُوبُهُ كَمَا تَحُطُّ الشَّجرةُ وَرقَهَا »    متفقٌ عليه
وَ « الْوَعْكُ » : مَغْثُ الحمَّى ، وقيل : الْحُمى


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Abdullaah bin Mas’uwd Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: “Nilingia kwa  Mtume  naye akiwa ana umwa. Nikamwambia: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, hakika wewe unaumwa sana ” Akasema: “Ndiyo, hakika mimi huwa na umwa kama vile watu wawili wanavyoumwa kati yenu.” Nikamuuliza: “Ni kwa vile una ujira mara mbili?” Akasema: [Ndiyo, ni hivyo. Hakuna Muislaamu yoyote anasibiwa na udhia (kuanzia) mwiba na zaidi ya mwiba, isipokuwa Mwneyezi Mungu humsamehe mabaya yake kwa udhia huo, na dhambi zake hupuputishwa kama vile mti unavyopuputika majani yake.]    [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6572825
TodayToday892
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 24

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68286382749378692651121747477378
title_6828638274a4220362196191747477378
title_6828638274b426343787961747477378

NISHATI ZA OFISI

title_6828638274dff6971915361747477378
title_6828638274f014896166871747477378
title_6828638274ffe17821415011747477378 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com