Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وعن ابْن مسْعُود رضي اللَّه عنه قَالَ : دَخلْتُ عَلى النَبيِّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم وَهُو يُوعَكُ فَقُلْتُ يا رسُولَ اللَّه إِنَّكَ تُوعكُ وَعْكاً شَدِيداً قال : « أَجَلْ إِنِّي أُوعَكُ كَمَا يُوعَكُ رَجُلانِ مِنْكُم» قُلْتُ : ذلك أَنَّ لَكَ أَجْريْن ؟ قال : « أَجَلْ ذَلك كَذَلك مَا مِنْ مُسْلِمٍ يُصِيبُهُ أَذًى ، شوْكَةٌ فَمَا فوْقَهَا إلاَّ كَفَّر اللَّه بهَا سيئاته ، وَحطَّتْ عنْهُ ذُنُوبُهُ كَمَا تَحُطُّ الشَّجرةُ وَرقَهَا »    متفقٌ عليه
وَ « الْوَعْكُ » : مَغْثُ الحمَّى ، وقيل : الْحُمى


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Abdullaah bin Mas’uwd Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: “Nilingia kwa  Mtume  naye akiwa ana umwa. Nikamwambia: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu, hakika wewe unaumwa sana ” Akasema: “Ndiyo, hakika mimi huwa na umwa kama vile watu wawili wanavyoumwa kati yenu.” Nikamuuliza: “Ni kwa vile una ujira mara mbili?” Akasema: [Ndiyo, ni hivyo. Hakuna Muislaamu yoyote anasibiwa na udhia (kuanzia) mwiba na zaidi ya mwiba, isipokuwa Mwneyezi Mungu humsamehe mabaya yake kwa udhia huo, na dhambi zake hupuputishwa kama vile mti unavyopuputika majani yake.]    [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668201
TodayToday7964
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 301

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17ec2c92a26702124851777434306
title_69f17ec2c92f36491874911777434306
title_69f17ec2c934418328020161777434306

NISHATI ZA OFISI

title_69f17ec2c999016588726521777434306
title_69f17ec2c99df11383554901777434306
title_69f17ec2c9a2c8032015401777434306 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com