Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وعنْ سُلَيْمانَ بْنِ صُرَدٍ رضي اللَّه عنهُ قال : كُنْتُ جالِساً مع النَّبِي صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم، ورجُلان يستَبَّانِ وأَحدُهُمَا قَدِ احْمَرَّ وَجْهُهُ . وانْتفَخَتْ أودَاجهُ . فقال رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « إِنِّي لأعلَمُ كَلِمةً لَوْ قَالَهَا لَذَهَبَ عنْهُ ما يجِدُ ، لوْ قَالَ : أَعْوذُ بِاللّهِ مِنَ الشَّيْطَانِ الرَّجِيمِ ذَهَبَ عنْهُ ما يجدُ . فقَالُوا لَهُ : إِنَّ النَّبِيَّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قَالَ : «تعوَّذْ بِاللِّهِ مِن الشَّيَطان الرَّجِيمِ ».    متفقٌ عليه


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Sulaymaan bin Swurad Radhi za Allah ziwe juu ayke amesema: “Nilikuwa nimekaa pamoja na Mtume ﷺ na watu wanatukanana, na mmoja kati yao uso wake ulikuwa umeiva na mishipa yake ya shingoni imevimba. Mtume ﷺ akasema: [Mimi nalijua neno, lau utalisema basi utaondokewa na hasira: “Aa’uwdhu biLLaahi mina shaytwaani rajiym (najilinda kwa Allaah dhidi ya shetani aliyelaaniwa), ataondokewa na hasira.] Wakaenda wakamwambia kuwa Mtume  amekwambia ujikinge kwa Mwenyezi Mungu kutokana na shetani aliyelaaniwa.”    [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6572918
TodayToday985
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 50

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68286ab6bd90c5023985941747479222
title_68286ab6d3c8e4684048571747479222
title_68286ab6d3dd69989410721747479222

NISHATI ZA OFISI

title_68286ab6d5d4019132424981747479222
title_68286ab6d5e2810460363611747479222
title_68286ab6d5f0a7538644581747479222 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com