Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وعَنْ عائشَةَ رضي اللَّهُ عنها أنَهَا سَأَلَتْ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم عَن الطَّاعونِ ، فَأَخبَرَهَا أَنَهُ كَانَ عَذَاباً يَبْعَثُهُ اللَّه تعالى عَلَى منْ يَشَاءُ ، فَجَعَلَهُ اللَّهُ تعالَى رحْمةً للْمُؤْمنِينَ ، فَلَيْسَ مِنْ عَبْدٍ يَقَعُ في الطَّاعُون فَيَمْكُثُ في بلَدِهِ صَابِراً مُحْتَسِباً يَعْلَمُ أَنَّهُ لاَ يُصِيبُهُ إِلاَّ مَا كَتَبَ اللَّهُ لَهُ إِلاَّ كَانَ لَهُ مِثْلُ أَجْرِ الشَّهِيدِ »    رواه البخاري


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Aaishah Radhi za Allah ziwe juu kwamba yeye alimuuliza Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ kuhusu ugonjwa wa tauni (kipindupindu), akamwambia kuwa: [Ilikuwa ni adhabu ambayo Mwenyezi Mungu ﷻ Akimpelekea Anayemtaka; kisha Mwenyezi Mungu Akaijaalia kuwa ni Rahma kwa Waumini. Hakuna mja yoyote yule atakaepata na tauni akakaa katika mji wake ule kwa kusubiri na kutaraji thawabu akijua kuwa hakuna kitakachompata ila alichoandikiwa na Mwenyezi Mungu, isipokuwa atakuwa na ujira mfano wa (aliyekufa) shaahid.]     [Imepokewa na Bukhari]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031685
TodayToday768
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 99

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d79b7608af3625675251787656631
title_6a8d79b7608ff9026795361787656631
title_6a8d79b76094b8140068841787656631

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d79b760f2316386254641787656631
title_6a8d79b760f7013367430381787656631
title_6a8d79b760fbc11364059431787656631 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com