Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وعن أبي مَالِكٍ الْحَارِثِ بْنِ عَاصِم الأشْعريِّ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ قَالَ : قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « الطُّهُورُ شَطْرُ الإِيمَان ، وَالْحَمْدُ للَّه تَمْلأَ الْميزانَ وسُبْحَانَ الله والحَمْدُ للَّه تَمْلآنِ أَوْ تَمْلأ مَا بَيْنَ السَّموَات وَالأَرْضِ وَالصَّلاَةِ نورٌ ، والصَّدَقَةُ بُرْهَانٌ ، وَالصَّبْرُ ضِيَاءٌ ، والْقُرْآنُ حُجَّةُ لَكَ أَوْ عَلَيْكَ . كُلُّ النَّاس يَغْدُو، فَبِائِعٌ نَفْسَهُ فمُعْتِقُها ، أَوْ مُوبِقُهَا»     رواه مسلم


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى






Kutoka kwa Abuu Maalik, Al-Haarith bin ‘Aaswim Al-Ash’ariy Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Amesema Mtume ﷺ: [Udhu ni nusu ya Imani, (na kusema:) AlhamduliLLaah hujaza mizani, (na kusema) Subhaana Allaah wal-HamduliLLaah hujaza baina ya mbingu na ardhi, na Swala ni nuru, na Sadaka ni hoja, na Subira ni mwangaza na Qur'ani ni hoja ya kukuokoa au kukuangamiza. Kila mtu huifanyia ‘amali nafsi yake, kuna mwenye kujiuza, mwenye kujiacha huru au mwenye kujiangamiza.]      [Imepokewa na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887163
TodayToday296
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 48

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba687aa0ac2329822131782294151
title_6a3ba687aa0fb7234891741782294151
title_6a3ba687aa14714730894141782294151

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba687c003d20911296641782294151
title_6a3ba687c008e17593809541782294151
title_6a3ba687c00dc10911719401782294151 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com