Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وعن أبي مَالِكٍ الْحَارِثِ بْنِ عَاصِم الأشْعريِّ رَضِيَ اللَّهُ عَنْهُ قَالَ : قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : « الطُّهُورُ شَطْرُ الإِيمَان ، وَالْحَمْدُ للَّه تَمْلأَ الْميزانَ وسُبْحَانَ الله والحَمْدُ للَّه تَمْلآنِ أَوْ تَمْلأ مَا بَيْنَ السَّموَات وَالأَرْضِ وَالصَّلاَةِ نورٌ ، والصَّدَقَةُ بُرْهَانٌ ، وَالصَّبْرُ ضِيَاءٌ ، والْقُرْآنُ حُجَّةُ لَكَ أَوْ عَلَيْكَ . كُلُّ النَّاس يَغْدُو، فَبِائِعٌ نَفْسَهُ فمُعْتِقُها ، أَوْ مُوبِقُهَا»     رواه مسلم


 شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى






Kutoka kwa Abuu Maalik, Al-Haarith bin ‘Aaswim Al-Ash’ariy Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Amesema Mtume ﷺ: [Udhu ni nusu ya Imani, (na kusema:) AlhamduliLLaah hujaza mizani, (na kusema) Subhaana Allaah wal-HamduliLLaah hujaza baina ya mbingu na ardhi, na Swala ni nuru, na Sadaka ni hoja, na Subira ni mwangaza na Qur'ani ni hoja ya kukuokoa au kukuangamiza. Kila mtu huifanyia ‘amali nafsi yake, kuna mwenye kujiuza, mwenye kujiacha huru au mwenye kujiangamiza.]      [Imepokewa na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668201
TodayToday7964
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 294

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e9c9841811342315261777434268
title_69f17e9c9848110620676431777434268
title_69f17e9c984e1289580761777434268

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e9c98cba11708006371777434268
title_69f17e9c98d1a4423151511777434268
title_69f17e9c98d7714636241441777434268 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com