Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وَعَنْ أبي هريرة رَضِي اللَّهُ عَنْهُ أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قَالَ : « يَضْحكُ اللَّهُ سبْحَانُه وتَعَالَى إِلَى رَجُلَيْنِ يقْتُلُ أحدُهُمَا الآخَرَ يدْخُلاَنِ الجَنَّة ، يُقَاتِلُ هَذَا في سبيلِ اللَّهِ فيُقْتل ، ثُمَّ يَتُوبُ اللَّهُ عَلَى الْقَاتِلِ فَيسْلِمُ فيستشهدُ »    مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Abuu Hurayrah Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba: Mtume wa Mwenyezi Mungu  amesema: [Mwenyezi Mungu Huwacheka watu wawili, mmoja anamuua mwengine, wote wakaingia Peponi. Huyu atapigana na huyu katika njia ya Mwenyezi Mungu, atauliwa. Kisha Mwenyezi Mungu Atamsamehe aliyeua kwa kusilimu naye akafa shahidi.(kwa kuliwa katika jihadi)]      [Imepokewa na Bukhariy na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6572837
TodayToday904
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 24

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68286729bb65e14701711191747478313
title_68286729bb82a7431667881747478313
title_68286729bb98310186285071747478313

NISHATI ZA OFISI

title_6828672eec34e17561711831747478318
title_6828672eec4e13856137841747478318
title_6828672eec63816670373131747478318 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com