Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وَعَنْ أبي هريرة رَضِي اللَّهُ عَنْهُ أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قَالَ : « يَضْحكُ اللَّهُ سبْحَانُه وتَعَالَى إِلَى رَجُلَيْنِ يقْتُلُ أحدُهُمَا الآخَرَ يدْخُلاَنِ الجَنَّة ، يُقَاتِلُ هَذَا في سبيلِ اللَّهِ فيُقْتل ، ثُمَّ يَتُوبُ اللَّهُ عَلَى الْقَاتِلِ فَيسْلِمُ فيستشهدُ »    مُتَّفَقٌ عَلَيْهِ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



Kutoka kwa Abuu Hurayrah Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba: Mtume wa Mwenyezi Mungu  amesema: [Mwenyezi Mungu Huwacheka watu wawili, mmoja anamuua mwengine, wote wakaingia Peponi. Huyu atapigana na huyu katika njia ya Mwenyezi Mungu, atauliwa. Kisha Mwenyezi Mungu Atamsamehe aliyeua kwa kusilimu naye akafa shahidi.(kwa kuliwa katika jihadi)]      [Imepokewa na Bukhariy na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887011
TodayToday144
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 79

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7fda7d2e615632505041782284250
title_6a3b7fda7d33511098092371782284250
title_6a3b7fda7d38110362323351782284250

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7fda7d90812181493291782284250
title_6a3b7fda7d954750921141782284250
title_6a3b7fda7d99f6959595681782284250 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com