Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين


وَعَنِ ابْنِ عَبَّاس وأنس بن مالك رَضِي الله عنْهُم أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم قَالَ : « لَوْ أَنَّ لابْنِ آدَمَ وَادِياً مِنْ ذَهَبِ أَحَبَّ أَنْ يَكُونَ لَهُ وادِيانِ ، وَلَنْ يَمْلأَ فَاهُ إِلاَّ التُّرَابُ ، وَيَتُوب اللَّهُ عَلَى مَنْ تَابَ »    مُتَّفَقٌ عَليْهِ


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



Kutuka kwa Abdullaah bin ‘Abbaas na Anas bin Maalik Radhi za Allah ziwe juu yao  kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu  amesema: [Lau mwanadamu angalikuwa na Bonde la dhahabu, angalipendelea awe na mabonde mawili, wala hakuna kitakachoweza kumtosheleza mdomo wake isipokuwa ni mchanga. Na Mwenyezi Mungu Humkubalia Tawba ya yule mwenye kutubia.]      [Imepokewa na Bukhariy na Muslim]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887014
TodayToday147
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 67

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b8038dc7e91676797511782284344
title_6a3b8038dc8382057461701782284344
title_6a3b8038dc8832762405991782284344

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b8038dce14453312511782284344
title_6a3b8038dce606577214631782284344
title_6a3b8038dceab10003109141782284344 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com