Menu

الحديث الثالث والثلاثون


Annawawiy1 


 "البينة على المدعي واليمين على من أنكر "

عن ابن عَبَّاسٍ رضي اللُه عنهما: أن رسولَ الله صلى الله عليه وسلم قال: [ لَو يُعْطَى النَّاسُ بِدَعْوَاهُمْ لادَّعَى رِجَالٌ أموالَ قَوْمٍ ودِماءَهُمْ لَكِنِ البَيِّنَةُ على المُدَّعِى والْيَمينُ على من أَنْكَرَ

حَدِيثٌ حَسَنٌ، رَوَاهُ الْبَيْهَقِيّ وَغَيْرُهُ هَكَذَا، وَبَعْضُهُ فِي "الصَّحِيحَيْنِ"


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ مُحَمّد بن صَالِح العُثَيْمِين رحمه الله تعالى



 HADITHI YA 33


JUKUMU LA USHAHIDI LIKO KWA YULE ANAYEDAI

NA KULA KIAPO KUNAMUWAJIBIKIA YULE ANAYEKANA


Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas Radhi za Allah ziwe juu yake ambaye amesema kuwa Mtume ﷺ alisema:
[Kama watu wangelipewa kwa mujibu wa madai yao, watu wangelidai mali na damu za wenzao (uhai) lakini jukumu la ushahidi liko kwa yule anayedai na kula kiapo kunawajibika kwa yule anayekana (kuwa hajatenda).]
[Imepokelewa na Al-Bayhaqi na wengineo. Ni Hadithi Hasan.]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031731
TodayToday814
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 129

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d82a2db32416493698651787658914
title_6a8d82a2db376636023391787658914
title_6a8d82a2db3c42876225881787658914

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d82a2f184d7299008741787658914
title_6a8d82a2f18a818086834621787658914
title_6a8d82a2f18fa10467362401787658914 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com