Menu

الحديث الثالث والثلاثون


Annawawiy1 


 "البينة على المدعي واليمين على من أنكر "

عن ابن عَبَّاسٍ رضي اللُه عنهما: أن رسولَ الله صلى الله عليه وسلم قال: [ لَو يُعْطَى النَّاسُ بِدَعْوَاهُمْ لادَّعَى رِجَالٌ أموالَ قَوْمٍ ودِماءَهُمْ لَكِنِ البَيِّنَةُ على المُدَّعِى والْيَمينُ على من أَنْكَرَ

حَدِيثٌ حَسَنٌ، رَوَاهُ الْبَيْهَقِيّ وَغَيْرُهُ هَكَذَا، وَبَعْضُهُ فِي "الصَّحِيحَيْنِ"


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ مُحَمّد بن صَالِح العُثَيْمِين رحمه الله تعالى



 HADITHI YA 33


JUKUMU LA USHAHIDI LIKO KWA YULE ANAYEDAI

NA KULA KIAPO KUNAMUWAJIBIKIA YULE ANAYEKANA


Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas Radhi za Allah ziwe juu yake ambaye amesema kuwa Mtume ﷺ alisema:
[Kama watu wangelipewa kwa mujibu wa madai yao, watu wangelidai mali na damu za wenzao (uhai) lakini jukumu la ushahidi liko kwa yule anayedai na kula kiapo kunawajibika kwa yule anayekana (kuwa hajatenda).]
[Imepokelewa na Al-Bayhaqi na wengineo. Ni Hadithi Hasan.]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7855355
TodayToday1072
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 6

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a137f7f6673418038861571779662719
title_6a137f7f6678213305778291779662719
title_6a137f7f667cc21108982511779662719

NISHATI ZA OFISI

title_6a137f7f66d969167024441779662719
title_6a137f7f66de11780197311779662719
title_6a137f7f66e2c6423603251779662719 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com