Menu

الحديث الثالث والثلاثون


Annawawiy1 


 "البينة على المدعي واليمين على من أنكر "

عن ابن عَبَّاسٍ رضي اللُه عنهما: أن رسولَ الله صلى الله عليه وسلم قال: [ لَو يُعْطَى النَّاسُ بِدَعْوَاهُمْ لادَّعَى رِجَالٌ أموالَ قَوْمٍ ودِماءَهُمْ لَكِنِ البَيِّنَةُ على المُدَّعِى والْيَمينُ على من أَنْكَرَ

حَدِيثٌ حَسَنٌ، رَوَاهُ الْبَيْهَقِيّ وَغَيْرُهُ هَكَذَا، وَبَعْضُهُ فِي "الصَّحِيحَيْنِ"


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ مُحَمّد بن صَالِح العُثَيْمِين رحمه الله تعالى



 HADITHI YA 33


JUKUMU LA USHAHIDI LIKO KWA YULE ANAYEDAI

NA KULA KIAPO KUNAMUWAJIBIKIA YULE ANAYEKANA


Kutoka kwa Ibn ‘Abbaas Radhi za Allah ziwe juu yake ambaye amesema kuwa Mtume ﷺ alisema:
[Kama watu wangelipewa kwa mujibu wa madai yao, watu wangelidai mali na damu za wenzao (uhai) lakini jukumu la ushahidi liko kwa yule anayedai na kula kiapo kunawajibika kwa yule anayekana (kuwa hajatenda).]
[Imepokelewa na Al-Bayhaqi na wengineo. Ni Hadithi Hasan.]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6668080
TodayToday768
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 18

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866a7058e1cc1154110771751557893
title_6866a7058e31a11757074131751557893
title_6866a705a2776234613191751557893

NISHATI ZA OFISI

title_6866a705a278012156559701751557893
title_6866a705a28f66298690831751557893
title_6866a705a2a2e4313082671751557893 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com