Menu

الحديث الثاني والثلاثون


Annawawiy1


"لا ضرر ولا ضرار"

"عَنْ أَبِي سَعِيدٍ سَعْدِ بْنِ مَالِكِ بْنِ سِنَانٍ الْخُدْرِيّ أن رسول الله صلى الله عليه وسلم "لاضرر ولا ضرار

حَدِيثٌ حَسَنٌ، رَوَاهُ ابْنُ مَاجَهْ  وَالدَّارَقُطْنِيّ ، وَغَيْرُهُمَا مُسْنَدًا. وَرَوَاهُ مَالِكٌ  فِي "الْمُوَطَّإِ" عَنْ عَمْرِو بْنِ يَحْيَى عَنْ أَبِيهِ عَنْ النَّبِيِّ فَأَسْقَطَ أَبَا سَعِيدٍ، وَلَهُ طُرُقٌ يُقَوِّي بَعْضُهَا بَعْضًا


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ مُحَمّد بن صَالِح العُثَيْمِين رحمه الله تعالى



 HADITHI YA 32


HAKUNA KUDHURIANA WALA KULIPA MADHARA


Kutoka kwa Abuu Sa’iyd Sa’d bin Maalik bin Sinaan Alkhudriyy Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume ﷺ na amesema: [Hakuna kudhuriana wala kulipiza madhara.]

[Imesimuliwa na Ibn Maajah, Ad-Daaraqutwniy na wengineo na ina kiwango cha 'Musnad'. Vile vile imepokelewa na Maalik katika Al-Muwatwaa kama 'Mursal'. Inayo mtiririko wa mapokezi kutoka kwa 'Amr bin Yahyaa, kutoka kwa baba yake, kutoka kwa Nabiy (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) hata ukimuacha Abuu Sa'iyd bado inayo mtiririko wa mapokezi unayoiunga mkono.]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6785507
TodayToday508
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 30

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a98fb749eac19585245311755942839
title_68a98fb749fa912203850161755942839
title_68a98fb74a09319110417461755942839

NISHATI ZA OFISI

title_68a98fb74d9605821471001755942839
title_68a98fb74da5c17044642991755942839
title_68a98fb74db3b13656295111755942839 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com