Menu

ANACHOSEMA NA KUFANYA ANAPOSIKIA MAUMIVU


 MAUMIVU


Weka mkono wako juu ya sehemu inayokuuma na kisha useme :

 

[بِسْمِ اللهِ]

 

[Kwa jina la Mwenyezi Mungu]   (mara tatu)

Kisha usema mara saba:

 

[أَعُوذُ باللهِ وَقُدْرَتِهِ مَنْ شَرِّ مَا أَجِدُ وَأُحَاذِرُ]

 

[Najilinda kwa Mwenyezi Mungu na kwa uwezo wake kutokana na shari ya ninachokisikia na ninachokiogopa.]    [Imeokewa na Muslim.]


ANACHOSEMA NA KUFANYA ANAPOSIKIA MAUMIVU


 


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6786224
TodayToday1225
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 36

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68aa28076385b13669713751755981831
title_68aa2807639527557662701755981831
title_68aa280763a3612945865451755981831

NISHATI ZA OFISI

title_68aa280764fab18948370921755981831
title_68aa28076507219131617171755981831
title_68aa2807651579841775861755981831 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com